Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Afrika Kusini yakadhibisha tuhuma za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 19, 2020 06:34

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, serikali ya Rais Donald Trump ilizidisha mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa shabaha ya eti kulemaza uchumi wa Iran na imekuwa ikitumia kila liwezekanalo kuanzisha vita vya kinafsi na kisaikolojia ikiwa ni pamoja na kutoa vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya ADF mashariki mwa Kongo DR

    Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya ADF mashariki mwa Kongo DR

    Sep 11, 2020 02:42

    Watu wasiopungua 58 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF wa Uganda katika mkoa wa Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • U.N: Maisha ya daktari wa Congo DR aliyeshinda tuzo ya Nobel, yamo hatarini

    U.N: Maisha ya daktari wa Congo DR aliyeshinda tuzo ya Nobel, yamo hatarini

    Aug 28, 2020 22:08

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa maisha ya daktari wa Congo ambaye alishinda Tuzo ya Amani ya Nobel kwa kazi yake ya kutibu waathirika wa ubakaji katika vita yamo hatarini baada ya kutolewa vitisho kadhaa vya kumuua.

  • Watu 13 wauawa katika shambulio la genge la waasi wa ADF mashariki mwa Congo

    Watu 13 wauawa katika shambulio la genge la waasi wa ADF mashariki mwa Congo

    Aug 22, 2020 07:49

    Watu wasiopungua 13 wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa Saudia

    Mamia ya wahajiri wa Kiethiopia wauawa kwa kupigwa risasi na askari wa Saudia

    Aug 13, 2020 22:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa makumi ya wahajiri wa Kiethiopia waliokimbia vita kaskazini mwa Yemen wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa mpakani wa Saudi Arabia.

  • Bin Salman aitwa mahakamani Washington kujibu tuhuma za kutaka kumuua al Jabri

    Bin Salman aitwa mahakamani Washington kujibu tuhuma za kutaka kumuua al Jabri

    Aug 11, 2020 01:04

    Mahakama ya Washington DC imemtaka mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman na wenzake 13 kufika mahakamani kujibu tuhuma za kufanya jaribio la kutaka kumuua kigaidi Saad al Jabri, mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia la Saudi Arabia aliyekimbilia nchini Canada.

  • Washington Post: Saudia inaongozwa na mwanamfalme wa makundi ya mauaji

    Washington Post: Saudia inaongozwa na mwanamfalme wa makundi ya mauaji

    Aug 10, 2020 05:21

    Gazeti la Washington Post la Marekani limefanya ulinganisho baina ya mauaji yaliyofanywa na Saudi Arabia dhidi ya mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo, Jamal Khashogi, na jaribio la mauaji ya kigaidi lililofanywa na watu wa karibu na mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Muhammad bin Salman dhidi ya mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia la Saudi Arabia, Saad al Jabri na kusema Saudi Arabia inaongozwa na mrithi wa ufalme anayesimamia makundi ya mauti.

  • Machafuko yatanda katika mji wa Port Sudan kutokana na hitilafu za kikabila

    Machafuko yatanda katika mji wa Port Sudan kutokana na hitilafu za kikabila

    Aug 10, 2020 05:20

    Gavana wa jimbo la Bahrul Ahmar nchini Sudan amepiga marufuku watu kutembea katika baadhi ya mji wa Port Sudan ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini Sudan kutokana na ghasia zilizotokana na hitilafu za kikabila ambazo zimesababisha mauaji ya watu kadhaa na kujeruhi makumi ya wengine.

  • Mauaji ya uhamishoni; jinai kwa mtindo wa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia

    Mauaji ya uhamishoni; jinai kwa mtindo wa mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia

    Aug 07, 2020 23:53

    Saad al-Jabri, Mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia ya Saudi Arabia ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni nchini Canada amewasilisha mashtaka katika mahakama moja ya Marekani akisema kuwa, Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia mwaka 2018 alituma timu ya kumuua yeye, ingawa njama za mauaji hayo zilisambaratishwa na viongozi wa Canada.

  • Makumi ya wafungwa wauawa katika shambulizi la Daesh huko Afghanistan, madazani wajeruhiwa

    Makumi ya wafungwa wauawa katika shambulizi la Daesh huko Afghanistan, madazani wajeruhiwa

    Aug 03, 2020 06:28

    Zaidi ya watu 21 wameuawa katika shambulizi lililofanywa usiku wa kuamkia leo na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh katika jela moja iliyoko katika mji wa Jalalabad nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS