Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mauaji ya Kimbari

  • Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Oct 02, 2017 14:18

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala haramu wa Israel una nafasi katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Mahakama ya kimataifa Malaysi yatoa hukumu dhidi ya viongozi wauaji wa Myanmar

    Mahakama ya kimataifa Malaysi yatoa hukumu dhidi ya viongozi wauaji wa Myanmar

    Sep 23, 2017 15:43

    Mahakama ya Kimataifa ya Kudumu ya Watu wa Malaysia imetoa hukumu dhidi ya serikali ya Myanmar kutokana na kutenda jinai za mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Ayatullah Larijani: Mauaji ya Waislamu wa Myanmar ni mfano wa wazi wa maangamizi ya kizazi

    Ayatullah Larijani: Mauaji ya Waislamu wa Myanmar ni mfano wa wazi wa maangamizi ya kizazi

    Sep 19, 2017 04:22

    Mkuu wa Idara ya Mahakama Nchini Iran amesema kuwa mashambulizi na utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar ni mfano wa wazi wa maangamizi ya kizazi na jinai dhidi ya binadamu.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari CAR

    Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari CAR

    Aug 24, 2017 02:35

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu ametahadharisha kuhusiana na kuweko ishara za kutokea mauaji ya kimbari katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo inakabiliwa na machafuko.

  • Nyaraka mpya zafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Nyaraka mpya zafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Jul 01, 2017 13:05

    Nyaraka mpya za kihistoria zilizochapishwa hivi karibuni kwa mara nyingine tena zimethibitisha nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda baada ya kupita miaka 23 tangu kutekelezwa mauaji hayo.

  • Uingereza: Machafuko ya Sudan Kusini ni sawa na mauaji ya kimbari

    Uingereza: Machafuko ya Sudan Kusini ni sawa na mauaji ya kimbari

    Apr 14, 2017 08:18

    Waziri wa Serikali ya Uingereza amesema kuwa mauaji yaliyoyalenga makundi maalumu ya kikabila huko Sudan Kusini na kusababisha vita vya ndani nchini humo mwaka 2013, ni sawa na mauaji ya kimbari.

  • Kuendelea kuhukumiwa wafanya mauaji ya kimbari nchini Rwanda

    Kuendelea kuhukumiwa wafanya mauaji ya kimbari nchini Rwanda

    Dec 05, 2016 03:56

    Licha ya kupita miaka zaidi ya 20 tangu yalipotokea mauaji ya kimbari nchini Rwanda, watendaji ya jinai hizo wanaendelea kuhukumiwa hadi leo hii.

  • Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Dec 04, 2016 07:28

    Mahakama moja nchini Ufaransa imepasisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya mkuu wa zamani wa usalama wa taifa wa Rwanda baada ya kumpata na hatia ya kufanya mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini humo.

  • Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 16:31

    Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.

  • UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini

    Dec 02, 2016 04:24

    Mjumbe wa Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amesema baada ya kuitembelea nchi hiyo kuwa, kumetokea mauaji ya kimbari katika maeneo kadhaa ya Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS