-
Mahakama ya Kijeshi Rwanda yaanza kusikiliza kesi ya Seyoboka
Dec 01, 2016 15:00Mahakama ya Kijeshi ya Rwanda leo imeanza kusikiliza kesi ya afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyerejeshwa nyumbani kutoka Canada mwezi uliopita kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya 1994.
-
Rwanda kuchunguza kuhusika Wafaransa katika mauaji ya kimbari
Nov 30, 2016 07:38Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Rwanda imeanzisha uchunguzi wa jinai kuhusu kuhusika raia 20 wa Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi
Sep 21, 2016 14:08Kundi la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari yanayonukia huko Burundi na kueleza kuwa, mwenendo jumla wa kauli zenye kuleta mgawanyiko wa kikabila zinazotolewa na serikali ya nchi hiyo zinamaanisha kuwa mzozo unaweza kuenea hadi katika nchi nyingine za Kiafrika.
-
Wazayuni watuhumiwa kuiba viungo vya miili ya Wapalestina
Jul 26, 2016 04:24Jeshi la Israel limetajwa kuwa linaiba viungo vya Wapalestina na kufanya mauaji ya kizazi.
-
Mameya wa Rwanda kizimbani Ufaransa kwa tuhuma za mauaji ya kimbari ya 1994
May 10, 2016 15:03Mameya wawili wa zamani wa Rwanda Jumanne hii wamefikishwa kizimbani Ufaransa wakikabiliwa na mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya binadamu na mauaji ya kimbari mwaka 1994 katika nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika.
-
Kesi 40 zaripotiwa za waenezaji itikadi za mauaji ya kimbari Rwanda
Apr 15, 2016 08:12Polisi wa Rwanda wameripoti kuwepo kesi 40 za hivi karibuni za wanaohusika na kueneza itikadi ya mauaji ya halaiki wakati wa wiki ya kuadhimisha mauaji ya halaiki iliyomalizika Jumatano iliyopita.