Jun 17, 2019 04:51
Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov ametoa radiamali kufuatia tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, Moscow haizipi umuhimu tuhuma kwamba Tehran ilihusika na tukio la kushambuliwa meli katika Bahari ya Oman.