Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia

    Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia

    Apr 27, 2016 14:17

    Russia imeonya kuwa mgogoro unaoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Syria huenda ukazusha mpasuko mkubwa katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Staffan de Mistura: Watu laki nne wameuawa katika vita nchini Syria

    Staffan de Mistura: Watu laki nne wameuawa katika vita nchini Syria

    Apr 23, 2016 16:08

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesema watu wapatao laki nne wamepoteza maisha kutokana na vita vya zaidi ya miaka mitano vilivyoikumba nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani: Hakuna mpango wowote wa pili ghairi ya mazungumzo kwa ajili ya Syria

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani: Hakuna mpango wowote wa pili ghairi ya mazungumzo kwa ajili ya Syria

    Apr 15, 2016 04:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Jared Caplan, amesema nchi hiyo haina mpango mwengine wowote wa pili kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Syria na kwamba mpango uliopo ni mmoja tu ambao ni mazungumzo.

  • Wananchi wa Syria wajitokeza kushiriki uchaguzi wa Bunge

    Wananchi wa Syria wajitokeza kushiriki uchaguzi wa Bunge

    Apr 13, 2016 07:16

    Wananchi wa Syria waliotimiza mashari ya kupiga kura wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura mapema leo, kushiriki uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo.

  • Rouhani na Putin: Wasyria watajiamulia mambo yao

    Rouhani na Putin: Wasyria watajiamulia mambo yao

    Mar 28, 2016 14:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Rais Vladimir Putin wa Russia juu ya udharura wa wananchi wa Syria kuachiwa wajiamulie mambo yao wenyewe.

  • Bashar al-Jaafari: Mashambulio ya Brussels ni matokeo ya sera ghalati za Magharibi kuhusiana na Syria

    Bashar al-Jaafari: Mashambulio ya Brussels ni matokeo ya sera ghalati za Magharibi kuhusiana na Syria

    Mar 24, 2016 02:43

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa na mkuu wa ujumbe wa nchi hiyo katika mazungumzo ya Geneva amesema mashambulio ya kigaidi ya mjini Brussels, Ubelgiji ni matokeo ya siasa na sera ghalati za Magharibi kuhusiana na magaidi na mgogoro wa Syria.

  • Jordan yakataa kuwapa matibabu wakimbizi wa Syria

    Jordan yakataa kuwapa matibabu wakimbizi wa Syria

    Mar 23, 2016 08:10

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Syria wamenyimwa huduma muhimu za matibabu na nchi jirani ya Jordan.

  • Lavrov: Kuondoka vikosi vya Russia  ni kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria

    Lavrov: Kuondoka vikosi vya Russia ni kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria

    Mar 16, 2016 07:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kuwa agizo lililotolewa na rais wa nchi hiyo la kutaka vikosi vya Russia kuondoka huko Syria halikutolewa ili kumfurahisha mtu, bali lengo la hatua hiyo ni kusaidia mchakato wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

  • UNICEF: Theluthi moja ya watoto wa Syria wamezaliwa kipindi cha vita

    UNICEF: Theluthi moja ya watoto wa Syria wamezaliwa kipindi cha vita

    Mar 15, 2016 03:01

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kushughulikia Watoto (UNICEF) umesema kila mtoto mmoja kati ya watatu nchini Syria amezaliwa katika kipindi cha vita,huku nchi hiyo ikiingia katika mwaka wa sita wa mapigano yaliyotokana na uasi unaoungwa mkono na madola ya kigeni.

  • Russia yapinga matamshi ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Russia yapinga matamshi ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani

    Mar 11, 2016 03:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amepinga vikali matamshi yaliyotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Marekani dhidi ya Moscow akisema kuwa yanaweka hatarini mchakato wa kurejesha amani nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS