Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • 'Mgogoro wa Syria utatuliwe kwa kuheshimu umoja wa kitaifa'

    'Mgogoro wa Syria utatuliwe kwa kuheshimu umoja wa kitaifa'

    Mar 10, 2016 02:45

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayeshughulikia masuala ya Kiarabu na Kiafrika amesema kuwa,mgogoro wa Syria unapaswa kutatuliwa kwa kuheshimu ardhi yote, mamlaka na umoja wa kitaifa wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wasyria waandamana kuunga mkono harakati ya Hizbullah

    Wasyria waandamana kuunga mkono harakati ya Hizbullah

    Mar 07, 2016 07:08

    Raia wa maeneo kadhaa ya Syria wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon.

  • Hali nchini Syria baada ya kuanza utekelezwaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano

    Hali nchini Syria baada ya kuanza utekelezwaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano

    Mar 01, 2016 08:11

    Tangu kuanza utekelezwaji wa makubaliano ya usitishaji vita kati ya serikali na wapinzani huko Syria Ijumaa iliyopita, mambo mengi yamejitokeza ambayo yanatujengea taswira ya jinsi hali halisi ilivyo katika nchi hiyo na eneo zima la Mashariki ya Kati.

  • Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Mar 01, 2016 07:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kutojadili madai ya kukiuka makubaliano ya usitishaji vita nchini Syria ambayo yalianza kutekelezwa hivi karibuni na kuongeza kuwa vikosi vya nchi mbili hizo vitalenga tu kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na al-Nusra katika mashambulizi yao.

  • Waziri wa Saudia atembelea Israel kwa siri kupanga njama dhidi ya Syria

    Waziri wa Saudia atembelea Israel kwa siri kupanga njama dhidi ya Syria

    Feb 29, 2016 07:31

    Saudi Arabia inashirikiana kikamilifu na utawala haramu wa Israel katika njama ya kuomuondoa marakani Rais Bashar al-Asad wa Syria pamoja na kuwepo mapatano ya usitishwaji vita nchini humo.

  • Milipuko ya mabomu yaua zaidi ya 20 Syria

    Milipuko ya mabomu yaua zaidi ya 20 Syria

    Feb 21, 2016 08:20

    Habari za hivi punde zinasema kuwa watu wasiopungua 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko miwili ya mabomu katika mkoa wa Homs, magharibi mwa Syria.

  • Misri:  Mgogoro wa Syria utatuliwe  kupitia mazungumzo

    Misri: Mgogoro wa Syria utatuliwe kupitia mazungumzo

    Feb 18, 2016 08:00

    Rais wa Misri amesema njia bora ya kutatua mgogoro wa Syria ni kupitia mazungumzo na wala sio nguvu za kijeshi.

  • Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Russia yapinga pendekezo la marufuku ya kupaa ndege Syria

    Feb 17, 2016 15:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema, inapinga pendekezo la kuTENGWA eneo lisiloruhusiwa kupaa ndege ndani ya Syria na kutaka waratibu wa pendekezo hilo kuishirikisha serikali ya Damascus kabla ya kuchukuliwa uamuzi wowote.

  • Washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kwa ombi la nchi hiyo

    Washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kwa ombi la nchi hiyo

    Feb 17, 2016 07:20

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif anasema washauri wa kijeshi wa Iran wako Syria kufuatia ombi la serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Nasrallah: Israel, Saudia zimefeli katika malengo yao Syria

    Nasrallah: Israel, Saudia zimefeli katika malengo yao Syria

    Feb 17, 2016 07:00

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema njama za Saudia, Israel na Uturuki zimefeli na kugonga mwamba Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS