Vijana wa Afrika wanajiunga na makundi yenye misimamo mikali kutokana na sababu kadhaa ikiwemo kupuuzwa, kunyimwa fursa pamoja na ukosefu wa utawala bora.
Waziri wa Utamaduni wa Algeria amesema harakati za kitamaduni zina nafasi chanya katika vita dhidi ya magenge ya utakfiri na yenye misimamo ya kufurutu ada.
Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema ugaidi na misimamo mikali ya kufurutu ada vimekuwa kizingiti kikuu katika kufikiwa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema njia pekee ya kupunguza kuenea athari mbaya za ugaidi na madudu yake ni kupitia kuundwa jela ya aina yake itakayotumiwa kuwafungia watu wenye misimamo mikali.