Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Hofu ya Amnesty International baada ya Misri kupewa uenyekiti wa AU

    Hofu ya Amnesty International baada ya Misri kupewa uenyekiti wa AU

    Feb 09, 2019 04:26

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasi wasi wake baada ya Misri kuteuliwa kuwa mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika kwa mwaka huu 2019, likisisitiza kuwa ukandamizaji wa haki za binadamu umefikia katika upeo wa juu kabisa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.

  • Nchi tatu za Afrika zataka Russia iwepo kijeshi katika ardhi zao

    Nchi tatu za Afrika zataka Russia iwepo kijeshi katika ardhi zao

    Feb 05, 2019 23:16

    Libya, Sudan na Misri, nchi tatu za Kiarabu za bara la Afrika zimetangaza utayari wa kuwapokea askari wa Russia au kuiruhusu nchi hiyo ianzishe kituo cha kijeshi katika ardhi zao.

  • Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Bunge la Misri lajadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais

    Feb 05, 2019 12:19

    Bunge la Misri leo Jumanne limeanza kujadili hoja ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais, hatua ambayo huenda ikamruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.

  • Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri

    Libya yaanza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri

    Jan 22, 2019 11:29

    Serikali ya Libya imeanzisha ujenzi wa ukuta katika mpaka wa pamoja na Misri kwa lengo la kuzuia kuingia wanachama wa kigaidi katika nchi hiyo.

  • Magaidi sita waangamizwa na maafisa usalama kusini mwa Misri

    Magaidi sita waangamizwa na maafisa usalama kusini mwa Misri

    Jan 13, 2019 04:20

    Wanachama sita wa genge moja la kigaidi wameuawa katika operesheni ya maafisa usalama huko kusini mwa Misri.

  • Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Jan 12, 2019 23:29

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza habari ya kuanzishwa kivuko cha kibiashara katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na Misri.

  • Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Jan 05, 2019 11:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa, ukandamizaji wa haki ya kujieleza umefikia kileleni katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa Misri, Abbel Fattah al Sisi.

  • CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    CBS: Misri na Israel zina ushirikiano wa karibu wa kijeshi

    Jan 05, 2019 04:27

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ameiomba kanali ya televisheni ya CBS ya Marekani kutorusha hewani mahojiano iliyomfanyia, ambapo alifichua kuhusu uhusiano wa karibu wa kijeshi wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya watalii nchini Misri

    Iran yalaani shambulizi la kigaidi dhidi ya watalii nchini Misri

    Dec 30, 2018 11:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni lililopelekea kuuawa watalii kadhaa huko nchini Misri.

  • Watu kadhaa wakiwemo watalii wauawa katika mripuko wa bomu Misri

    Watu kadhaa wakiwemo watalii wauawa katika mripuko wa bomu Misri

    Dec 29, 2018 04:32

    Watalii watatu wa Vietnam na raia mmoja wa Misri wameuawa baada ya bomu lililotegwa kando ya barabara kuripukia basi lililokuwa likifanya safari ya kitalii karibu na Mapiramidi ya Giza nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS