Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha

    Apr 06, 2018 09:50

    Mkutano wa Misri, Sudan na Ethiopia wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha umegonga mwamba huku pande tatu hizo zikishindwa kuafikiana.

  • Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri

    Apr 03, 2018 21:59

    Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.

  • Mtoto wa Mohamed Morsi: Hali ya baba ni mbaya sana katika jela nchini Misri

    Mtoto wa Mohamed Morsi: Hali ya baba ni mbaya sana katika jela nchini Misri

    Mar 30, 2018 23:44

    Mtoto wa rais wa zamani wa Misri aliyeuzuliwa na kutiwa jela, amesema kuwa hali ya baba yake ni mbaya katika jela ya nchi hiyo na hakuna hatua zozote za maana zinazochukuliwa za kuhakikisha anapatiwa matibabu anayostahiki.

  • Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Mar 29, 2018 23:00

    Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo

    Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo

    Mar 29, 2018 10:37

    Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameibuka mshindi wa uchaguzi tata wa rais uliofanyika Jumatatu iliyopita, kwa kuzoa asilimia 92 ya kura zote halali zilizopigwa.

  • Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela

    Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela

    Mar 28, 2018 11:56

    Kamati moja ya bunge la Uingereza imefichua kuwa, kuna hatari ya kufariki dunia rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi kama serikali ya nchi hiyo haitoruhusu kupewa matibabu ya haraka.

  • Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana

    Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana

    Mar 26, 2018 10:37

    Wamisri leo Jumatatu wameanza kupiga kura kumchagua Rais mpya katika uchaguzi wa rais usio na upinzani wa maana huku Abdel Fattah al Sisi akitazamiwa kuibuka mshindi baada ya serikali yake inayoungwa mkono na jeshi kuwafunga jela na kuwatisha wagombea wote wakuu waliokuwa wakitazamiwa kuchuana naye katika uchaguzi huu.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri

    Mar 24, 2018 21:48

    Mashindano ya 25 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yalianza jana Jumamosi tarehe 24 Machi, 2018 nchini Misri yakishirikisha wajumbe kutoka nchi 50 duniani.

  • Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri

    Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri

    Mar 19, 2018 11:52

    Rais wa Sudan amesema kuwa nchi yake imedhamiria kwa dhati kutatua hitilafu zilizopo kati ya Khartoum na Cairo.

  • Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Mar 17, 2018 00:18

    Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS