Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri

    Mar 29, 2018 23:00

    Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo

    Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo

    Mar 29, 2018 10:37

    Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameibuka mshindi wa uchaguzi tata wa rais uliofanyika Jumatatu iliyopita, kwa kuzoa asilimia 92 ya kura zote halali zilizopigwa.

  • Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela

    Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela

    Mar 28, 2018 11:56

    Kamati moja ya bunge la Uingereza imefichua kuwa, kuna hatari ya kufariki dunia rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi kama serikali ya nchi hiyo haitoruhusu kupewa matibabu ya haraka.

  • Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana

    Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana

    Mar 26, 2018 10:37

    Wamisri leo Jumatatu wameanza kupiga kura kumchagua Rais mpya katika uchaguzi wa rais usio na upinzani wa maana huku Abdel Fattah al Sisi akitazamiwa kuibuka mshindi baada ya serikali yake inayoungwa mkono na jeshi kuwafunga jela na kuwatisha wagombea wote wakuu waliokuwa wakitazamiwa kuchuana naye katika uchaguzi huu.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri

    Mar 24, 2018 21:48

    Mashindano ya 25 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yalianza jana Jumamosi tarehe 24 Machi, 2018 nchini Misri yakishirikisha wajumbe kutoka nchi 50 duniani.

  • Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri

    Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri

    Mar 19, 2018 11:52

    Rais wa Sudan amesema kuwa nchi yake imedhamiria kwa dhati kutatua hitilafu zilizopo kati ya Khartoum na Cairo.

  • Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi

    Mar 17, 2018 00:18

    Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.

  • Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Mar 16, 2018 00:53

    Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.

  • Magaidi wa Daesh wanatumia kadi za simu za Israel nchini Misri

    Magaidi wa Daesh wanatumia kadi za simu za Israel nchini Misri

    Mar 14, 2018 04:30

    Mtandao mmoja wa Intaneti wa Israel umesema kuwa, magaidi wa genge la wakufurishaji la Daesh walioko katika jangwa la Sinai la kaskazini mwa Misri, wanatumia kadi za simu za mashirika ya Kizayuni kufanya operesheni zao ndani ya ardhi ya Misri.

  • Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu

    Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu

    Mar 14, 2018 03:58

    Jeshi la Misri limeanzisha maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa katika maji ya Bahari Nyekundu, chini ya ushirikiano wa kijeshi wa nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS