-
Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri
Mar 29, 2018 23:00Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo
Mar 29, 2018 10:37Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameibuka mshindi wa uchaguzi tata wa rais uliofanyika Jumatatu iliyopita, kwa kuzoa asilimia 92 ya kura zote halali zilizopigwa.
-
Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela
Mar 28, 2018 11:56Kamati moja ya bunge la Uingereza imefichua kuwa, kuna hatari ya kufariki dunia rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi kama serikali ya nchi hiyo haitoruhusu kupewa matibabu ya haraka.
-
Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana
Mar 26, 2018 10:37Wamisri leo Jumatatu wameanza kupiga kura kumchagua Rais mpya katika uchaguzi wa rais usio na upinzani wa maana huku Abdel Fattah al Sisi akitazamiwa kuibuka mshindi baada ya serikali yake inayoungwa mkono na jeshi kuwafunga jela na kuwatisha wagombea wote wakuu waliokuwa wakitazamiwa kuchuana naye katika uchaguzi huu.
-
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri
Mar 24, 2018 21:48Mashindano ya 25 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yalianza jana Jumamosi tarehe 24 Machi, 2018 nchini Misri yakishirikisha wajumbe kutoka nchi 50 duniani.
-
Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri
Mar 19, 2018 11:52Rais wa Sudan amesema kuwa nchi yake imedhamiria kwa dhati kutatua hitilafu zilizopo kati ya Khartoum na Cairo.
-
Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi
Mar 17, 2018 00:18Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.
-
Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie
Mar 16, 2018 00:53Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.
-
Magaidi wa Daesh wanatumia kadi za simu za Israel nchini Misri
Mar 14, 2018 04:30Mtandao mmoja wa Intaneti wa Israel umesema kuwa, magaidi wa genge la wakufurishaji la Daesh walioko katika jangwa la Sinai la kaskazini mwa Misri, wanatumia kadi za simu za mashirika ya Kizayuni kufanya operesheni zao ndani ya ardhi ya Misri.
-
Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu
Mar 14, 2018 03:58Jeshi la Misri limeanzisha maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa katika maji ya Bahari Nyekundu, chini ya ushirikiano wa kijeshi wa nchi mbili.