-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Misri
Feb 12, 2018 23:27Rex W. Tillerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akiwa katika safari yake ya kiduru katika kuzitembelea nchi za eneo, aliwasili jana mjini Cairo, mji mkuu wa Misri.
-
Jeshi la Misri laua magaidi 12 katika Rasi ya Sinai
Feb 12, 2018 04:18Jeshi la Misri limesema kuwa limeua magaidi wasiopungua 12 na kuwatia mbaroni wengine wapatao 100 katika opereseheni kubwa iliyoanzishwa na jeshi hilo kaskazini mwa Rasi ya Sinai.
-
Wanachama wengine kadhaa wa Ikhwanul Muslimin wahukumiwa kifungo cha maisha jela Misri
Feb 12, 2018 01:06Wanachama kadhaa wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya Misri wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na mahakama ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Misri lawaangamiza magaidi 16 katika eneo la Sinai
Feb 11, 2018 12:14Jeshi la Misri limetangaza kuwa, limewaua magaidi 16 kufuatia operesheni ya kijeshi katika eneo la Sinai.
-
Amnesty yakosoa ukandamizaji wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani
Feb 10, 2018 13:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa ukandamizaji unaofanywa na maafisa wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani wa serikali ya nchi hiyo.
-
Ikhwani yakanusha kufanya mazungumzo na serikali ya el Sisi, Misri
Feb 09, 2018 00:48Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imekanusha madai kwamba, viongozi wake wamefanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo.
-
Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati
Feb 08, 2018 04:23Rais Abdul-Fatah al-Sisi wa Misri Jumanne ya juzi aliwasili Abu Dhabi katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) baada ya kukamilisha safari yake ya siku tatu huko Oman.
-
Mwana wa mpinzani mkuu wa el Sisi katika uchaguzi ujao Misri, atiwa mbaroni
Feb 08, 2018 03:41Mwana wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ni mpinzani mkuu wa Rais Abdel Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais ametiwa mbaroni wiki moja tu tangu alipoweka kizuizini baba yake.
-
Mvutano katika uhusiano wa Misri na Uturuki
Feb 07, 2018 11:19Uhusiano wa Misri na Uturuki umeharibika kuhusiana na suala la uchoraji mipaka katika Bahari ya Mediterania.
-
Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge
Feb 06, 2018 03:46Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa mabunge ya nchi hii na Misri.