Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Misri

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Misri

    Feb 12, 2018 23:27

    Rex W. Tillerson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akiwa katika safari yake ya kiduru katika kuzitembelea nchi za eneo, aliwasili jana mjini Cairo, mji mkuu wa Misri.

  • Jeshi la Misri laua magaidi 12 katika Rasi ya Sinai

    Jeshi la Misri laua magaidi 12 katika Rasi ya Sinai

    Feb 12, 2018 04:18

    Jeshi la Misri limesema kuwa limeua magaidi wasiopungua 12 na kuwatia mbaroni wengine wapatao 100 katika opereseheni kubwa iliyoanzishwa na jeshi hilo kaskazini mwa Rasi ya Sinai.

  • Wanachama wengine kadhaa wa Ikhwanul Muslimin wahukumiwa kifungo cha maisha jela Misri

    Wanachama wengine kadhaa wa Ikhwanul Muslimin wahukumiwa kifungo cha maisha jela Misri

    Feb 12, 2018 01:06

    Wanachama kadhaa wa harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya Misri wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na mahakama ya nchi hiyo.

  • Jeshi la Misri lawaangamiza magaidi 16 katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri lawaangamiza magaidi 16 katika eneo la Sinai

    Feb 11, 2018 12:14

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa, limewaua magaidi 16 kufuatia operesheni ya kijeshi katika eneo la Sinai.

  • Amnesty yakosoa ukandamizaji wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani

    Amnesty yakosoa ukandamizaji wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani

    Feb 10, 2018 13:03

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa ukandamizaji unaofanywa na maafisa wa serikali ya Misri dhidi ya wapinzani wa serikali ya nchi hiyo.

  • Ikhwani yakanusha kufanya mazungumzo na serikali ya el Sisi, Misri

    Ikhwani yakanusha kufanya mazungumzo na serikali ya el Sisi, Misri

    Feb 09, 2018 00:48

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imekanusha madai kwamba, viongozi wake wamefanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo.

  • Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Safari yenye malengo ya uchaguzi ya Rais wa Misri nchini Imarati

    Feb 08, 2018 04:23

    Rais Abdul-Fatah al-Sisi wa Misri Jumanne ya juzi aliwasili Abu Dhabi katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) baada ya kukamilisha safari yake ya siku tatu huko Oman.

  • Mwana wa mpinzani mkuu wa el Sisi katika uchaguzi ujao Misri, atiwa mbaroni

    Mwana wa mpinzani mkuu wa el Sisi katika uchaguzi ujao Misri, atiwa mbaroni

    Feb 08, 2018 03:41

    Mwana wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ni mpinzani mkuu wa Rais Abdel Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais ametiwa mbaroni wiki moja tu tangu alipoweka kizuizini baba yake.

  • Mvutano katika uhusiano wa Misri na Uturuki

    Mvutano katika uhusiano wa Misri na Uturuki

    Feb 07, 2018 11:19

    Uhusiano wa Misri na Uturuki umeharibika kuhusiana na suala la uchoraji mipaka katika Bahari ya Mediterania.

  • Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Feb 06, 2018 03:46

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa mabunge ya nchi hii na Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS