-
Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos kwa mara nyingine ni mpatanishi
Feb 05, 2018 09:58Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametembelea Oman na kukutana na kiongozi wa nchi hiyo, Sultan Qaboos.
-
Rais wa Misri akosolewa vikali kufuatia kufichuliwa ushirikiano wake wa siri na utawala wa Kizayuni
Feb 05, 2018 04:19Rais wa Misri amekabiliwa na ukosoaji mkubwa kufuatia kufichuliwa ushirikiano wa siri kati ya serikali yake na utawala wa Kizayuni.
-
Watu watatu wauawa, 6 wajeruhiwa kaskazini mwa Misri
Feb 04, 2018 13:02Duru za Misri zimetangaza kuwa, watu watatu wameuawa na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la karibuni kabisa la kushambuliwa polisi wa Misri, kusini mwa al Arish, makao makuu ya jimbo la Sinai Kaskazini, nchini Misri.
-
Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri
Feb 03, 2018 04:18Idaya ya usalama nchini Misri imewatia mbaroni makamanda 23 miongoni mwa wafuasi wa Sami Hafez Anan, mkuu wa zamani wa majeshi nchini humo ambaye alitangaza azma yake ya kutaka kugombea uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Misri yawahukumu maisha jela wanachama wa Ikhwani
Jan 30, 2018 23:52Katika kile kinachoonekana na mwendelezo wa hukumu za kidhalimu dhidi ya wafuasi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri, Mahakama ya Jinai ya Cairo imewahukumu kifungo cha maisha jela wanachama sita wa harakati hiyo.
-
Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais
Jan 30, 2018 13:06Makumi ya wanaharakati wa kisiasa wa Misri wametia saini taarifa ya kususia uchaguzi ujao wa rais nchini humo wakisema kuwa, hautakuwa na sifa za awali kabisa za uchaguzi huru na wa haki.
-
Misri yapokea vyema kuboreka uhusiano wa Ethiopia na Sudan
Jan 29, 2018 11:43Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesema nchi yake imefurahishwa na kuboreka uhusiano baina ya Sudan na Ethiopia katika nyuga tofauti.
-
Wanasiasa Misri watoa wito wa kususiwa uchaguzi wa rais
Jan 29, 2018 02:42Wanasiasa wa kambi ya upinzani nchini Misri wamewataka wananchi wa nchi hiyo kususia uchaguzi ujao wa rais.
-
Mpinzani wa el Sisi katika uchaguzi ujao wa Misri atupwa katika jela ya kijeshi
Jan 28, 2018 11:41Wakili wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ametangaza kuchuana na Rais Abdul Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amesema kuwa, mteja wake emepelekwa katika jela ya kijeshi.
-
Ikhwanul Muslimin ya Misri yatahadharisha kuhusu kuwekewa mashinikizo wapinzani
Jan 26, 2018 13:12Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imetahadharisha kuhusu hatua ya serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Abdel Fatah al Sisi ya kuwashinikiza wapinzani wa serikali na taathira zake mbaya za kisiasa.