Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Iran na Misri kuimarisha ushirikiano wao wa mabunge

    Feb 06, 2018 03:46

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa mabunge ya nchi hii na Misri.

  • Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos  kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Feb 05, 2018 09:58

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametembelea Oman na kukutana na kiongozi wa nchi hiyo, Sultan Qaboos.

  • Rais wa Misri akosolewa vikali kufuatia kufichuliwa ushirikiano wake wa siri na utawala wa Kizayuni

    Rais wa Misri akosolewa vikali kufuatia kufichuliwa ushirikiano wake wa siri na utawala wa Kizayuni

    Feb 05, 2018 04:19

    Rais wa Misri amekabiliwa na ukosoaji mkubwa kufuatia kufichuliwa ushirikiano wa siri kati ya serikali yake na utawala wa Kizayuni.

  • Watu watatu wauawa, 6 wajeruhiwa kaskazini mwa Misri

    Watu watatu wauawa, 6 wajeruhiwa kaskazini mwa Misri

    Feb 04, 2018 13:02

    Duru za Misri zimetangaza kuwa, watu watatu wameuawa na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la karibuni kabisa la kushambuliwa polisi wa Misri, kusini mwa al Arish, makao makuu ya jimbo la Sinai Kaskazini, nchini Misri.

  • Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Makamanda 23 wanaomuunga mkono Anan watiwa mbaroni Misri

    Feb 03, 2018 04:18

    Idaya ya usalama nchini Misri imewatia mbaroni makamanda 23 miongoni mwa wafuasi wa Sami Hafez Anan, mkuu wa zamani wa majeshi nchini humo ambaye alitangaza azma yake ya kutaka kugombea uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Misri yawahukumu maisha jela wanachama wa Ikhwani

    Misri yawahukumu maisha jela wanachama wa Ikhwani

    Jan 30, 2018 23:52

    Katika kile kinachoonekana na mwendelezo wa hukumu za kidhalimu dhidi ya wafuasi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri, Mahakama ya Jinai ya Cairo imewahukumu kifungo cha maisha jela wanachama sita wa harakati hiyo.

  • Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Wanasiasa Misri kususia uchaguzi wa rais

    Jan 30, 2018 13:06

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa wa Misri wametia saini taarifa ya kususia uchaguzi ujao wa rais nchini humo wakisema kuwa, hautakuwa na sifa za awali kabisa za uchaguzi huru na wa haki.

  • Misri yapokea vyema kuboreka uhusiano wa Ethiopia na Sudan

    Misri yapokea vyema kuboreka uhusiano wa Ethiopia na Sudan

    Jan 29, 2018 11:43

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesema nchi yake imefurahishwa na kuboreka uhusiano baina ya Sudan na Ethiopia katika nyuga tofauti.

  • Wanasiasa Misri watoa wito wa kususiwa uchaguzi wa rais

    Wanasiasa Misri watoa wito wa kususiwa uchaguzi wa rais

    Jan 29, 2018 02:42

    Wanasiasa wa kambi ya upinzani nchini Misri wamewataka wananchi wa nchi hiyo kususia uchaguzi ujao wa rais.

  • Mpinzani wa el Sisi katika uchaguzi ujao wa Misri atupwa katika jela ya kijeshi

    Mpinzani wa el Sisi katika uchaguzi ujao wa Misri atupwa katika jela ya kijeshi

    Jan 28, 2018 11:41

    Wakili wa mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ambaye ametangaza kuchuana na Rais Abdul Fattah el Sisi katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo amesema kuwa, mteja wake emepelekwa katika jela ya kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS