Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ukiukwaji haki za binadamu Misri walaaniwa

    Ukiukwaji haki za binadamu Misri walaaniwa

    Mar 05, 2016 12:19

    Vikosi vya usalama vya Misri vimelaumiwa kwa kukiuka haki za binadamu kutokana na kutekeleza vitendo vya utesaji na mauaji ya kiholela wakati wa kukabiliana na wapinzani.

  • Mbunge wa Misri atimuliwa kwa kufanya kikao cha siri na balozi wa Israel

    Mbunge wa Misri atimuliwa kwa kufanya kikao cha siri na balozi wa Israel

    Mar 03, 2016 10:01

    Bunge la Misri limemtimua mjumbe wake mmoja anayedaiwa kukutana na kufanya mazungumzo na balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu usalama wa taifa la nchi hiyo ya Kiarabu mjini Cairo.

  • Ikhwanul Muslimin yakanusha kutaka maridhiano na serikali ya Misri

    Ikhwanul Muslimin yakanusha kutaka maridhiano na serikali ya Misri

    Mar 01, 2016 12:15

    Katibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amekanusha kutolewa ombi lolote na harakati hiyo la kutaka ufanyike usuluhishi baina yake na utawala wa sasa wa nchi hiyo.

  • Wauaji wa Sheikh Shehatta wahukumiwa kifungo cha miaka 14 jela Misri

    Wauaji wa Sheikh Shehatta wahukumiwa kifungo cha miaka 14 jela Misri

    Feb 25, 2016 23:18

    Mahakama moja ya Misri imewahukumu kifungo cha miaka 14 jela watu kadhaa waliohusika na mauaji ya mwanazuoni wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo, Sheikh Hassan Shehatta.

  • Al-Sisi akiri ndege ya Russia ilitunguliwa na magaidi Misri

    Al-Sisi akiri ndege ya Russia ilitunguliwa na magaidi Misri

    Feb 25, 2016 04:29

    Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri amekiri kwamba ndege ya abiria ya Russia iliyoanguka mwezi oktoba mwaka uliopita katika anga ya nchi yake ilitunguliwa na magaidi.

  • Msafara wa polisi wa Misri washambuliwa kwa bomu

    Msafara wa polisi wa Misri washambuliwa kwa bomu

    Feb 22, 2016 04:21

    Polisi mmoja ameuawa na watu wengine 11 wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko katika msafara wa polisi hao kwenye mji wa al Arish nchini Misri.

  • Mtoto wa miaka 4 jela maisha kwa mauaji Misri!!

    Mtoto wa miaka 4 jela maisha kwa mauaji Misri!!

    Feb 22, 2016 00:08

    Mahakama moja nchini Misri imemUhukumu kifungo cha maisha jela mtoto MMOJA wa miaka 4 kwa tuhuma za kufanya mauaji akiwa na umri wa baina ya mwaka mmoja na mwili.

  • Al-Sisi: Polisi wote wanakaokiuka sheria, wachukuliwe hatua kali

    Al-Sisi: Polisi wote wanakaokiuka sheria, wachukuliwe hatua kali

    Feb 20, 2016 04:05

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kuchukuliwa hatua kali dhidi ya polisi watakaohusishwa na ukiukaji wa sheria nchini humo.

  • Mahakama ya Misri yazuia kesi ya Morsi kuakisiwa na vyombo vya habari

    Mahakama ya Misri yazuia kesi ya Morsi kuakisiwa na vyombo vya habari

    Feb 19, 2016 04:18

    Mahakama ya Makosa ya Jinai nchini Misri imepiga marufuku waandishi wa habari kuakisi mwenendo wa kesi ya Rais aliyepinduliwa 2013, Mohammad Morsi na kudai kuwa, hatua hiyo ni kwa maslahi ya taifa.

  • Misri:  Mgogoro wa Syria utatuliwe  kupitia mazungumzo

    Misri: Mgogoro wa Syria utatuliwe kupitia mazungumzo

    Feb 18, 2016 04:30

    Rais wa Misri amesema njia bora ya kutatua mgogoro wa Syria ni kupitia mazungumzo na wala sio nguvu za kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS