Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mitandao ya kijamii

  • Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni

    Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni "kitendo cha ugaidi"

    Feb 24, 2025 12:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel kuruka juu ya uwanja wa michezo nchini Lebanon, ambako shughuli za mazishi ya viongozi wa Hizbullah waliouawa shahdii zilikuwa zinafanyika, akitaja tukio hilo kama "kitendo cha ugaidi" kilicholenga kuwatisha waombolezaji.

  • "Hapana" ya watumiaji wa X wa Iran kwa ombi la Trump: Hatutazungumza na Marekani kwa sababu hatuiamini!

    Feb 14, 2025 14:02

    Parstoday- Watumiaji wa Kiirani wa mtandao wa kijamii wa "X" wameitaja hatua ya Rais wa Marekani ya kujionyesha kuwa tayari kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni hadaa na udanganyifu mkubwa wa Washington.

  • "Tutayaunga mkono mapinduzi ya 1979 hadi pumzi ya mwisho"; dondoo za jumbe kutoka kwa watumiaji wa X kwenye maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 14, 2025 13:18

    Parstoday: Watumiaji wa Kiirani wa mtandao wa kijamii wa X wameuchukulia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa ni mafanikio makubwa ya taifa la Iran na wakasema: Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwa ni alfajiri iliyoondoa pazia la giza Mashariki na Magharibi.

  • Ubadhirifu mkubwa Marekani, kila mwaka Idara ya Hazina inalipa dola bilioni 100 kwa watu hewa

    Ubadhirifu mkubwa Marekani, kila mwaka Idara ya Hazina inalipa dola bilioni 100 kwa watu hewa

    Feb 09, 2025 10:40

    Elon Musk, Mkuu wa Ofisi ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani (DOGE) amesema kuwa, Idara ya Hazina ya nchi hiyo imegubikwa na ubadhirifu mkubwa na kwamba kila mwaka inalipa watu hewa dola bilioni 100 za Kimarekani.

  • Imam Khamenei: Ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali ya Wapalestina

    Imam Khamenei: Ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali ya Wapalestina

    Feb 06, 2025 13:25

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kkiislamu ya Iran amesema kuwa, ardhi yote ya Palestina, kuanzia mtoni hadi baharini ni mali ya Wapalestina.

  • "Marekani ni aina mbaya zaidi ya Uistikbari", andiko jipya kwenye ukurasa wa X wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jan 26, 2025 12:02

    Akaunti ya mtandao wa X ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya khamenei.ir imetoa mjibizo kwa lugha ya Kihispania yenye hashtag GolfoDeMéxico kujibu hatua ya Marekani ya kulibadilsha jina Ghuba ya Mexico.

  • Gaza imeshinda: Watumiaji wa mitandao ya kijamii wazungumzia usitishaji mapigano Gaza

    Gaza imeshinda: Watumiaji wa mitandao ya kijamii wazungumzia usitishaji mapigano Gaza

    Jan 16, 2025 11:17

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamezungumzia habari ya makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Hamas na Israel katika Ukanda wa Gaza kwa hisia mchanganyiko za furaha na matumaini ya mustakbali mwema.

  • Iran ina silaha ambazo adui hana taarifa nazo kabisa

    Iran ina silaha ambazo adui hana taarifa nazo kabisa

    Jan 13, 2025 06:57

    Kamanda mmoja wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ina silaha ambazo hazijafichuliwa hadi sasa na wala adui hana taarifa zozote kuhusu silaha hizo.

  • Araghchi: Tutashirikiana na serikali mpya ya Lebanon

    Araghchi: Tutashirikiana na serikali mpya ya Lebanon

    Jan 11, 2025 10:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wananchi wa Lebanon kwa kupata rais mpya na kusema: Tutashirikiana na serikali yoyote itakayowakilisha matakwa ya wananchi wa Lebanon.

  • Kutoka makundi yenye uhusiano na NATO hadi makundi ya muqawama Palestina

    Kutoka makundi yenye uhusiano na NATO hadi makundi ya muqawama Palestina

    Jan 02, 2025 15:16

    Parstoday- Mhadhiri wa Chuo Kikuu wa Iran na mwanaharakati wa mtandao wa kijamii wa X ameandika ujumbe katika ukurasa wake na kueleza mgawanyiko wa makundi yenye uhusiano na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na makundi ya muuqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS