-
Maoni ya watumiaji mitando kuhusu matumizi ya picha ghushi za magereza ya Syria
Dec 15, 2024 12:26Picha inayohusiana na Jumba la Makumbusho la Vita vya Vietnam, ambayo katika siku za hivi karibuni inaenea katika mitandao ikihusishwa na gereza la Saydnaya nchini Syria.
-
Iran yaipongeza IAEA kwa kukiri kuwa Israel ina silaha za nyuklia, yataka ilazimishwe kuharibu silaha hizo
Dec 13, 2024 03:41Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kimataifa na Kisheria amejibu hatua ya kukiri Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki kuhusu hatari za silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni, na kuutaka wakala huo ushughulikie silaha za nyuklia za Israel na sio kuusakama mradi wa matumizi ya amani wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ni kitu gani vyombo vya habari vya Magharibi vinakiita "uhuru"?
Dec 10, 2024 12:36Parstoday- Mtumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X ameashiria nafasi na mchango wa vyombo vya habari vya magharibi katika matukio ya Syria katika ujumbe wake na kukosoa utendaji wao wa kindumakuwili kuhusiana na mafuhumu na maana ya uhuru.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran: Syria ina machaguo matatu mbele yake
Dec 08, 2024 12:24Parstoday- Mhadhiri wa Chuo Kikuu na mwanaharakati wa kisiasa kwenye mtandao wa kijamii wa X ameashiria matukio ya hivi majuzi nchini Syria na kuusema: Kuna machaguo matatu kwa ajili ya mustakabali wa Syria.
-
Jeffrey Sachs: Marekani, Israel na Uturuki wanahusika na machafuko ya Syria
Dec 08, 2024 12:11Pars Today - Mchambuzi wa Marekani amesema kuwa, machafuko nchini Syria ni sehemu ya mpango wa pamoja wa Marekani, Israel na Uturuki.
-
Watumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X: Kunyongwa Netanyahu ni hatua ya kwanza ya kupatikana uadilifu
Dec 08, 2024 11:58Parstoday- Matamshi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kunyongwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, yalikuwa na taathira kubwa miongoni mwa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X".
-
Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Israel ni kuondoka Asia Magharibi
Nov 28, 2024 13:38Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaelekea kuondoka katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, operesheni zinazoendelea za harakati za muqawama dhidi ya Israel haziwezi kusitishwa.
-
Kiongozi: Wahusika wote wa genge la magaidi wa Kizayuni lazima washtakiwe
Nov 24, 2024 04:38Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehimiza kufunguliwa mashtaka maafisa wote wa kisiasa na kijeshi wa utawala wa kigaidi wa Israel kutokana na ukatili wao.
-
Kuanzia utekaji nyara hadi kuuawa watoto 17,000 na utawala wa Israel; ujumbe wa Twitter kuhusu Siku ya Kimataifa ya Watoto
Nov 20, 2024 11:42Parstoday- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Ukanda wa Gaza umegeuka kuwa kaburi la watoto kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala unaofanya mauaji ya kimbari wa Israel.
-
Kuuawa Mohammad Afif; kukiri Israel kwamba nguvu ya vyombo vya habari vya Hizbullah ni 'chungu'
Nov 19, 2024 08:38Parstoday- Mtaalamu wa masuala ya kimataifa na mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa X, ameitambua hatua ya utawala wa Kizayuni kumuua shahidi "Mohammed Afif Al Nabulsi" aliyekuwa Mkuu wa vyombo vya habari vya Hizbullah ya Lebanon, ni ishara ya kuwa chungu operesheni za vyombo vya habari vya Hizbullah dhidi ya utawala huo.