Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mitandao ya kijamii

  • Kuzaliwa Isa Masih, ukumbusho wa kupigania uadilifu; Ujumbe wa pongezi wa Wairani watumiaji wa mtandao wa X

    Kuzaliwa Isa Masih, ukumbusho wa kupigania uadilifu; Ujumbe wa pongezi wa Wairani watumiaji wa mtandao wa X

    Dec 26, 2024 10:27

    Watumiaji Wairani wa mtandao wa kijamii wa X wamekutaja kuzaliwa Nabii Isa Masih (Yesu Kristo), amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, kuwa ni ukumbusho wa maadili ya kiroho ya ubinadamu.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuzaliwa Isa Masih

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awapongeza Wakristo kwa mnasaba wa kuzaliwa Isa Masih

    Dec 26, 2024 06:54

    Ukurasa wa lugha ya Kiingereza wa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, katika mtandao wa kijamii wa X umechapisha ujumbe wake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (as).

  • Chuo kikuu cha Daystar Kenya chafuta mkataba na 'Israel' baada ya malalamiko ya umma

    Chuo kikuu cha Daystar Kenya chafuta mkataba na 'Israel' baada ya malalamiko ya umma

    Dec 19, 2024 07:00

    Siku mbili tu baada ya Chuo Kikuu cha Daystar cha Kenya kutia saini mkataba na ubalozi wa utawala Israel  jijini Nairobi  kuanzisha 'Msitu wa Zion' kwenye chuo chake, taasisi hiyo imebatilisha uamuzi wake kufuatia hasira za wananchi katika mitandao ya kijamii hasa X.

  • Maoni ya watumiaji mitando kuhusu matumizi ya picha ghushi za magereza ya Syria

    Maoni ya watumiaji mitando kuhusu matumizi ya picha ghushi za magereza ya Syria

    Dec 15, 2024 12:26

    Picha inayohusiana na Jumba la Makumbusho la Vita vya Vietnam, ambayo katika siku za hivi karibuni inaenea katika mitandao ikihusishwa na gereza la Saydnaya nchini Syria.

  • Iran yaipongeza IAEA kwa kukiri kuwa Israel ina silaha za nyuklia, yataka ilazimishwe kuharibu silaha hizo

    Iran yaipongeza IAEA kwa kukiri kuwa Israel ina silaha za nyuklia, yataka ilazimishwe kuharibu silaha hizo

    Dec 13, 2024 03:41

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kimataifa na Kisheria amejibu hatua ya kukiri Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki kuhusu hatari za silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni, na kuutaka wakala huo ushughulikie silaha za nyuklia za Israel na sio kuusakama mradi wa matumizi ya amani wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. 

  • Ni kitu gani vyombo vya habari vya Magharibi vinakiita

    Ni kitu gani vyombo vya habari vya Magharibi vinakiita "uhuru"?

    Dec 10, 2024 12:36

    Parstoday- Mtumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X ameashiria nafasi na mchango wa vyombo vya habari vya magharibi katika matukio ya Syria katika ujumbe wake na kukosoa utendaji wao wa kindumakuwili kuhusiana na mafuhumu na maana ya uhuru.

  • Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran: Syria ina machaguo matatu mbele yake

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran: Syria ina machaguo matatu mbele yake

    Dec 08, 2024 12:24

    Parstoday- Mhadhiri wa Chuo Kikuu na mwanaharakati wa kisiasa kwenye mtandao wa kijamii wa X ameashiria matukio ya hivi majuzi nchini Syria na kuusema: Kuna machaguo matatu kwa ajili ya mustakabali wa Syria.

  • Jeffrey Sachs: Marekani, Israel na Uturuki wanahusika na machafuko ya Syria

    Jeffrey Sachs: Marekani, Israel na Uturuki wanahusika na machafuko ya Syria

    Dec 08, 2024 12:11

    Pars Today - Mchambuzi wa Marekani amesema kuwa, machafuko nchini Syria ni sehemu ya mpango wa pamoja wa Marekani, Israel na Uturuki.

  • Watumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X: Kunyongwa Netanyahu ni hatua ya kwanza ya kupatikana uadilifu

    Watumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X: Kunyongwa Netanyahu ni hatua ya kwanza ya kupatikana uadilifu

    Dec 08, 2024 11:58

    Parstoday- Matamshi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kunyongwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, yalikuwa na taathira kubwa miongoni mwa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X".

  • Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Israel ni kuondoka Asia Magharibi

    Kiongozi Muadhamu: Hatima ya Israel ni kuondoka Asia Magharibi

    Nov 28, 2024 13:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaelekea kuondoka katika eneo la Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, operesheni zinazoendelea za harakati za muqawama dhidi ya Israel haziwezi kusitishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS