Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mitandao ya kijamii

  • NATO ni wenzo wa uhalifu wa Wamagharibi/angalia tweets za watumiaji wa X

    NATO ni wenzo wa uhalifu wa Wamagharibi/angalia tweets za watumiaji wa X

    Aug 06, 2024 11:13

    Pars Today- Uhalifu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) haufichiki kwa mtu yeyote. Ni kwa sababu hiyo ndio maana Alfred Dozias, mtaalamu wa zamani wa Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa, analichukulia shirika hilo kuwa ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa binadamu duniani.

  • Mauaji na uharibifu; matokeo ya Libya kuamini na kulegeza msimamo mbele ya nchi za Magharibi/ tweet za watumiaji wa X

    Mauaji na uharibifu; matokeo ya Libya kuamini na kulegeza msimamo mbele ya nchi za Magharibi/ tweet za watumiaji wa X

    Jul 17, 2024 12:18

    Libya imekumbwa na ghasia na machafuko ya kisiasa tangu mapinduzi ya mwaka 2011 ya watu wa nchi hiyo, ambayo yalipelekea kupinduliwa serikali ya Muammar Gaddafi, kwa uingiliaji kati wa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Shauku ya uchaguzi nchini Iran/ Tweeti za watumiaji mitandao wa Iran kuhusu uchaguzi wa rais

    Shauku ya uchaguzi nchini Iran/ Tweeti za watumiaji mitandao wa Iran kuhusu uchaguzi wa rais

    Jul 17, 2024 11:46

    Pars Today- Wakati huo huo siku ya uchaguzi wa rais nchini Iran inakaribia, watumiaji wa Iran wa mtandao wa kijamii wa X, kama watu wengine wa Iran, wanafuatilia uchaguzi huu kwa msisimuko na shauku maalum.

  • Mashujaa hawafi / kuangazia mshikamano wa watumiaji wa X na watu wa Iran baada ya kufa shahidi Raisi na Amir-Abdollahian

    Mashujaa hawafi / kuangazia mshikamano wa watumiaji wa X na watu wa Iran baada ya kufa shahidi Raisi na Amir-Abdollahian

    Jun 26, 2024 09:47

    Parstoday - Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa - X walionyesha mshikamano wao na wananchi wa Iran katika radiamali yao ya kufa shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi na Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mwandishi habari wa Kiingereza awahutubu watu wa Magharibi: Mlichoambiwa kuhusu kuchukiwa Raisi ni uongo mtupu

    Mwandishi habari wa Kiingereza awahutubu watu wa Magharibi: Mlichoambiwa kuhusu kuchukiwa Raisi ni uongo mtupu

    Jun 18, 2024 11:50

    Pars Today- Richard Medhurst, mwandishi wa Kiingereza na mwandishi wa habari sambamba na kuashiria mahudhurio ya mamilioni ya watu wa Iran katika shughuli ya kuuaga mwili wa shahidi "Sayyid Ebrahim Raisi" rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amekosoa uenezaji uwongo wa vyombo vya Magharibi dhidi ya hayati rais wa Iran.

  • Sema uongo na toa vitisho! Baadhi ya maoni ya watumiaji wa X kushambulia propaganda za Israel

    Sema uongo na toa vitisho! Baadhi ya maoni ya watumiaji wa X kushambulia propaganda za Israel

    Jun 17, 2024 14:57

    Parstoday: Mtumiaji mmoja wa mtandao wa kijamii wa X amesema kuwa Israel na Wazayuni wanapenda sana kutumia mbinu hii ya propaganda kila pale wanapobanwa na jinai zao za kuua raia wa kawaida huko Palestina. Wakibanwa sana utawasikia wanasema, tutafanya uchunguzi. Lakini wakati mashinikizo yanapopungua, vyombo vyao vya habari na wanasiasa wao hujielekeza kwenye jinai nyingine na hakuna uchunguzi wowote unaofanyika.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS