Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Mvua kubwa na mafuriko yaua watu 37 katika mji wa Safi, Morocco

    Mvua kubwa na mafuriko yaua watu 37 katika mji wa Safi, Morocco

    Dec 16, 2025 02:52

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco leo JUmatatu imetangaza kuwa mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya takriban watu 37 katika mji wa pwani wa Safi nchini humo.

  • Wahajiri wa Kiafrika waaga dunia kwa baridi mpaka wa Morocco, Algeria

    Wahajiri wa Kiafrika waaga dunia kwa baridi mpaka wa Morocco, Algeria

    Dec 15, 2025 11:01

    Wahamiaji tisa wa Kiafrika wamepoteza maisha kutokana na baridi kali karibu na mpaka wa Morocco na Algeria.

  • Maandamano ya Tunisia na Morocco; dhihirisho la kuunga mkono Wapalestina barani Afrika

    Maandamano ya Tunisia na Morocco; dhihirisho la kuunga mkono Wapalestina barani Afrika

    Oct 28, 2025 11:45

    Wimbi jipya la uungaji mkono kwa Wapalestina barani Afrika limekwenda sambamba na kulaani vitendo vya kijinai vya utawala haramu wa Israel.

  • Waandamanaji nchini Morocco: Tunahitaji zaidi hospitali kuliko viwanja vya soka

    Waandamanaji nchini Morocco: Tunahitaji zaidi hospitali kuliko viwanja vya soka

    Oct 05, 2025 07:37

    Makabiliano makali yanaripotiwa kutokea baina ya waandamanaji na vyombo vya usalama nchini Morocco.

  • Gen-Z wa Morocco waendelea kuandamana wakitaka kuboreshwa elimu, afya

    Gen-Z wa Morocco waendelea kuandamana wakitaka kuboreshwa elimu, afya

    Oct 01, 2025 02:33

    Maandamano yanayoongozwa na vijana wa kizazi cha Gen-Z ya kushinikiza kuboreshwa huduma hospitalini na shuleni yameenea katika miji mbali mbali ya Morocco.

  • Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza

    Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza

    Sep 05, 2025 10:24

    Wananchi wa nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Yemen na Gaza, wakionesha mshikamano wa wazi na harakati za ukombozi wa Wapalestina.

  • Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?

    Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?

    Sep 03, 2025 02:32

    Wananchi wa baadhi ya nchi za Kiafrika wamefanya maandamano makubwa kujibu jinai za Israel za kuishambulia Yemen na kuendelea jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Maelfu ya Wamorocco waandaamana kupinga kutia nanga meli za Israel

    Maelfu ya Wamorocco waandaamana kupinga kutia nanga meli za Israel

    Aug 04, 2025 07:37

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika bandari kubwa zaidi ya nchi hiyo huko Tanger Med kaskazini mwa nchi hiyo kupinga kutia nanga meli zilizobeba silaha za Israel.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Jul 20, 2025 12:22

    Maelfu ya wananchi wa Morocco waliingia mitaani jana Jumamosi kushiriki maandamano ya kutangaza mshikamano wao na wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, sanjari na kulaani kampeni ya mauaji ya kimbari ya Israel, ambayo ipo katika mwezi wake wa 21 sasa.

  • Morocco inapambana kuzima moto wa msituni kwa njia za angani na ardhini

    Morocco inapambana kuzima moto wa msituni kwa njia za angani na ardhini

    Jul 20, 2025 07:56

    Mamlaka husika za Morocco zimekuwa zikikabiliana na moto wa msituni karibu na mji wa kaskazini wa Tetouan tangu mapema jana Jumamosi, huku kukiwa na juhudi kubwa za kudhibiti moto huo kwa kutumia njia za angani na ardhini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS