• Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi

    May 27, 2025 06:33

    Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi uhuru wa kujitawala chini ya mamlaka ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiungana na idadi inayoongezeka ya nchi za Kiafrika, Kiarabu na Magharibi ambazo zimeelekeza uungaji mkono wao kwa Rabat katika mzozo huo wa miongo mitano.

  • Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

    Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

    May 12, 2025 11:12

    Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza, wakitangaza mshikamano wao na watoto wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa ambao wanakabiliwa na njaa, kiu na maradhi; huku mgogoro mbaya wa kibinadamu uliosababishwa na Wazayuni ukiendelea kuwasakama.

  • Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel

    Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel

    Apr 22, 2025 13:11

    Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza na kupinga meli zinazobeba zana za kijeshi za utawala wa Kizayuni kutia nanga katika bandari za nchi yao.

  • Wananchi wa Morocco wafanya maandamano 105 kuiunga mkono Gaza

    Wananchi wa Morocco wafanya maandamano 105 kuiunga mkono Gaza

    Apr 19, 2025 06:05

    Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake nchini Qatar imetangaza kuwa wananchi wa Morocco wamefanya maandamano 105 katika miji 58 ya nchi hiyo wakitangaza mshikamano wao na kuwaunga mkono watu madhulumu wa Ukanda wa Gaza na kulaani vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.

  • Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Apr 08, 2025 11:55

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano huko Rabat, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza na kutaka kufutwa makubaliano ya kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Apr 07, 2025 11:36

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katikati mwa mji mkuu wa Rabat kulaani mashambulio mapya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 08, 2024 02:30

    Wananchi wa Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza.

  • Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina

    Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina

    Dec 03, 2024 07:15

    Idara ya posta ya Morocco imechukua hatua ya kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuchapisha stempu yenye anuani "Pamoja na Gaza".

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 01, 2024 04:13

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa IIsrael katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

    Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

    Nov 16, 2024 12:24

    Wananchi wa Morocco wameandamana na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.