-
Waandamanaji nchini Morocco: Tunahitaji zaidi hospitali kuliko viwanja vya soka
Oct 05, 2025 07:37Makabiliano makali yanaripotiwa kutokea baina ya waandamanaji na vyombo vya usalama nchini Morocco.
-
Gen-Z wa Morocco waendelea kuandamana wakitaka kuboreshwa elimu, afya
Oct 01, 2025 02:33Maandamano yanayoongozwa na vijana wa kizazi cha Gen-Z ya kushinikiza kuboreshwa huduma hospitalini na shuleni yameenea katika miji mbali mbali ya Morocco.
-
Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza
Sep 05, 2025 10:24Wananchi wa nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Yemen na Gaza, wakionesha mshikamano wa wazi na harakati za ukombozi wa Wapalestina.
-
Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?
Sep 03, 2025 02:32Wananchi wa baadhi ya nchi za Kiafrika wamefanya maandamano makubwa kujibu jinai za Israel za kuishambulia Yemen na kuendelea jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Maelfu ya Wamorocco waandaamana kupinga kutia nanga meli za Israel
Aug 04, 2025 07:37Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika bandari kubwa zaidi ya nchi hiyo huko Tanger Med kaskazini mwa nchi hiyo kupinga kutia nanga meli zilizobeba silaha za Israel.
-
Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel
Jul 20, 2025 12:22Maelfu ya wananchi wa Morocco waliingia mitaani jana Jumamosi kushiriki maandamano ya kutangaza mshikamano wao na wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, sanjari na kulaani kampeni ya mauaji ya kimbari ya Israel, ambayo ipo katika mwezi wake wa 21 sasa.
-
Morocco inapambana kuzima moto wa msituni kwa njia za angani na ardhini
Jul 20, 2025 07:56Mamlaka husika za Morocco zimekuwa zikikabiliana na moto wa msituni karibu na mji wa kaskazini wa Tetouan tangu mapema jana Jumamosi, huku kukiwa na juhudi kubwa za kudhibiti moto huo kwa kutumia njia za angani na ardhini.
-
Kenya yasimama na Morocco mgogoro wa Sahara Magharibi
May 27, 2025 06:33Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipa eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi uhuru wa kujitawala chini ya mamlaka ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiungana na idadi inayoongezeka ya nchi za Kiafrika, Kiarabu na Magharibi ambazo zimeelekeza uungaji mkono wao kwa Rabat katika mzozo huo wa miongo mitano.
-
Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha
May 12, 2025 11:12Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza, wakitangaza mshikamano wao na watoto wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa ambao wanakabiliwa na njaa, kiu na maradhi; huku mgogoro mbaya wa kibinadamu uliosababishwa na Wazayuni ukiendelea kuwasakama.
-
Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel
Apr 22, 2025 13:11Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza na kupinga meli zinazobeba zana za kijeshi za utawala wa Kizayuni kutia nanga katika bandari za nchi yao.