Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Wananchi wa Morocco na Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco na Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Nov 11, 2024 13:01

    Wananchi wa Morocco na Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Morocco imeongezeka hadi 18

    Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Morocco imeongezeka hadi 18

    Sep 10, 2024 07:10

    Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa kusini mashariki mwa Morocco imeongezeka na kufikia watu 18.

  • Maandamano ya kulaani jinai za Israel yaendelea kufanyika nchini Morocco

    Maandamano ya kulaani jinai za Israel yaendelea kufanyika nchini Morocco

    Aug 10, 2024 02:32

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la Israel huko Gaza.

  • Morocco yasaini mkataba wa dola bilioni 1 na Israel inayoua watoto Gaza

    Morocco yasaini mkataba wa dola bilioni 1 na Israel inayoua watoto Gaza

    Jul 12, 2024 03:03

    Kama mojawapo ya hatua za kupanua na kuimarisha uhusiano wake na Israel, Morocco imesaini mkataba wenye thamani ya dola bilioni moja na Tel Aviv; wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni unaendelea kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Mar 12, 2024 07:41

    Wananchi wa Tunisia jana waliandamana mbele ya ubalozi wa Marekani huko Tunis mji mkuu wa Tunisia kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Morocco: Gaza inashuhudia janga la kuogofya la kibinadamu

    Morocco: Gaza inashuhudia janga la kuogofya la kibinadamu

    Feb 28, 2024 06:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amesema Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na 'janga la kibinadamu' wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya eneo hilo lililozingirwa.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wa Gaza

    Wananchi wa Morocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wa Gaza

    Nov 08, 2023 07:10

    Wananchi wa Morocco kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano ya kuwanga mkono wananchi wa Palestina ambao wanakabiliwa na hujuma na mashambulizi ya kikatili ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Oct 20, 2023 02:58

    Maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, yameilazimisha Tel Aviv kuwahimisha wafanyakazi wa balozi zake katika nchi za Misri na Morocco.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Oct 07, 2023 07:26

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Morocco wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel; uhusiano ambao kwa sasa umefikisha mwaka mmoja.

  • Iran yasikitishwa na zilzala iliyoua maelfu Morocco; kutuma nchini humo misaada ya kibinadamu

    Iran yasikitishwa na zilzala iliyoua maelfu Morocco; kutuma nchini humo misaada ya kibinadamu

    Sep 10, 2023 10:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kutuma misaada ya kibinadamu nchini Morocco, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililoua maelfu ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS