Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • "Mzozo wa Sahara Magharibi haujafumbuliwa kutokana na unafiki wa Magharibi"

    Jun 03, 2023 01:33

    Mwanaharakati mmoja wa kisiasa amesema kadhia ya Sahara Magharibi haijapatiwa ufumbuzi kwa muda mrefu sasa kutokana na unafiki wa nchi za Magharibi.

  • Mwanasiasa wa Morocco:  Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel ni usaliti

    Mwanasiasa wa Morocco: Kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel ni usaliti

    May 08, 2023 06:25

    Mmoja wa viongozi wa kisiasa wa harakati za mrengo wa kushoto nchini Morocco ametangaza kuwa, kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel ni khiyana na usalitii mkubwa kwa sasa na kwa baadaye kwa Morocco na taifa lolote lile la Kiarabu.

  • Morocco yawaonya wanaokosoa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Morocco yawaonya wanaokosoa uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Mar 15, 2023 02:23

    Kasri ya mfalme wa Morocco imekitaka chama kikubwa zaidi cha Kiislamu nchini humo cha PJD kiache kutoa taarifa za kukosoa na kupinga hatua ya Rabat ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Morocco kutomrejesha Saudia mwanaharakati wa nchi hiyo

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yaitaka Morocco kutomrejesha Saudia mwanaharakati wa nchi hiyo

    Feb 09, 2023 07:59

    Baadhi ya mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemtaka Waziri Mkuu wa Morocco kutomrudisha nchini kwake mwanaharakati wa Saudia, Hassan al-Rabea.

  • Zaidi ya 100 watiwa mbaroni Ufaransa katika hekaheka za ushindi wa soka dhidi ya Morocco

    Zaidi ya 100 watiwa mbaroni Ufaransa katika hekaheka za ushindi wa soka dhidi ya Morocco

    Dec 15, 2022 07:15

    Polisi ya Ufaransa imetangaza kuwa zaidi ya watu mia moja wametiwa mbaroni mjini Paris baada ya timu ya soka ya nchi hiyo kuishinda Morocco katika nusu fainali ya Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar.

  • Wazayuni wawashambulia Wapalestina wakisherehekea ushindi wa Morocco

    Wazayuni wawashambulia Wapalestina wakisherehekea ushindi wa Morocco

    Dec 11, 2022 11:10

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewashambulia wananchi wa Palestina waliokuwa wamekusanyika kusherehekea ushindi wa Morocco katika mchuano wa robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea kushuhudiwa nchini Qatar.

  • Hizbullah yaipongeza timu ya soka ya Morocco kwa kuinyuka Uhispania na kuinua bendera ya Palestina

    Hizbullah yaipongeza timu ya soka ya Morocco kwa kuinyuka Uhispania na kuinua bendera ya Palestina

    Dec 07, 2022 13:52

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa "Twitter" ambapo ameipongeza Morocco kwa ushindi wa timu ya kandanda ya nchi hiyo dhidi ya Uhispania hiyo jana na kufuzu kuingia robo fainali ya mechi za Kombe la Dunia zinazoendelea nchini Qatar.

  • Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Nov 14, 2022 11:07

    Mamlaka za Morocco zimetangaza kuwa zimezima majaribio ya makumi ya maelfu ya wahamiaji haramu waliojaribu kuvuka bahari ya Mediterania kuelekea Ulaya.

  • Maelfu ya Wamorocco waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

    Maelfu ya Wamorocco waandamana kuliunga mkono taifa la Palestina

    Oct 15, 2022 11:18

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano ya kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina na msimamo wao imara wa kuihami Baytul Muqaddas na Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Nasser Kan'ani: Morocco iwajibike kwa madhara ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu

    Nasser Kan'ani: Morocco iwajibike kwa madhara ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu

    Oct 05, 2022 07:08

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amemwambia Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Morocco kwamba anapaswa kuwajibishwa kutokana na ukosefu wa usalama unaotokana na kuanzisha uhusiano baina ya nchi hiyo na na utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watu wa Palestina na kukalia kwa mabavu kibla cha kwanza cha Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS