Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Hamas yakosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya Msikiti wa Al Aqsa

    Hamas yakosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya Msikiti wa Al Aqsa

    Aug 22, 2019 01:11

    Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Kumbukumbu ya mwaka wa 50 tangu kuchomwa moto msikiti wa Al Aqsa; Siku ya Kimataifa ya Misikiti

    Kumbukumbu ya mwaka wa 50 tangu kuchomwa moto msikiti wa Al Aqsa; Siku ya Kimataifa ya Misikiti

    Aug 21, 2019 12:46

    Leo tarehe 21 mwezi Agosti ni maadhimisho ya kutimia mwaka wa 50 tangu kuchomwa moto na Wazayuni msikiti wa al Aqsa; siku ambayo imepewa jina la Siku ya Kimataifa ya Misikiti.

  • HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina wote kusimama pamoja kuuhami msikiti wa Al Aqsa

    HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina wote kusimama pamoja kuuhami msikiti wa Al Aqsa

    Aug 20, 2019 08:04

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito kwa Wapalestina wote kusimama na kuungana pamoja kwa ajili ya kuuhami msikiti wa Al Aqsa.

  • Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Aug 12, 2019 14:53

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.

  • Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Walowezi wa Kiyahudi wavamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu siku ya Idi, wajeruhi makumi ya Waislamu

    Aug 12, 2019 02:44

    Walowezii zaidi ya 1700 wa Kiyahudi jana walivamia Msikiti wa al Aqsa mara tatu katika siku ya Idul Adh'ha na kuwajeruhi makumi ya Waislamu waliokwenda eneo hilo takatifu kwa ajili ya kufanya ibada.

  • Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Aug 06, 2019 12:24

    Sheikh Mohamed Ahmed Hossein Mufti Mkuu wa mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na hujuma na uvamizi wa Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.

  • Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Mhadhiri wa Kisaudi ashambuliwa vikali kwa maneno kwa kuudogesha msikiti mtukufu wa Al Aqsa

    Aug 02, 2019 13:57

    Ujumbe ulioandikwa na mhadhiri mmoja mtetezi wa utawala wa Aal Saud katika ukurasa wa kijamii wa Twitter kwamba msikiti wa Al Aqsa hauna utukufu wowote umeamsha hasira na kushambuliwa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii ya intaneti.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jul 26, 2019 01:34

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    OIC yalaani hatua ya Israel ya kuchimba njia ya chini ya ardhi Aqsa

    Jul 04, 2019 13:47

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeukodoa vikali utawala haramu wa Israel kwa kuchimba njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa mashariki mwa mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni hao.

  • Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 27, 2019 08:06

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekerwa na hatua ya Rais Sebastián Piñera wa Chile akishirikiana na Idara ya Wakfu ya Kiislamu ya Quds na viongozi wa ngazi ya juu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS