Nov 21, 2018 02:37
Tawi la Palestina la Harakati ya Kimataifa ya Kutetea Haki za Watoto, juzi Jumatatu ilitangaza katika taarifa yake kwamba, tangu kuanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 52 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza.