Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mtoto wa Kipalestina

  • UNICEF: Watoto wameathiriwa zaidi na vita katika Ukanda wa Gaza

    UNICEF: Watoto wameathiriwa zaidi na vita katika Ukanda wa Gaza

    Jan 30, 2025 01:57

    Mfumo wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto ndio walioteseka na kuathirika zaidi na vita vya Gaza kkuliiko matabaka mengine katika Ukkanda huo.

  • Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon

    Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon

    Nov 20, 2024 11:43

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya wanawake na familia amesisitiza umuhimu wa mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami na kuwasaidia wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon.

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Gaza imekuwa kaburi la watoto

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Gaza imekuwa kaburi la watoto

    Nov 20, 2024 08:08

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Ukanda wa Gaza umegeuka kuwa kaburi la watoto kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala unaofanya mauaji ya kimbari wa Israel.

  • WHO: Hali ya watoto katika Ukanda wa Gaza ni mbaya

    WHO: Hali ya watoto katika Ukanda wa Gaza ni mbaya

    Nov 03, 2024 12:50

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya watoto wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza kufuatia kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Watoto wa Kipalestina wanasumbuliwa na utapiamlo mkali huko Gaza

    Watoto wa Kipalestina wanasumbuliwa na utapiamlo mkali huko Gaza

    Aug 27, 2024 02:12

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa maelfu ya watoto katika Ukanda wa Gaza wanasumbuliwa na utapiamlo mkali kutokana na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katka eneo hilo na kuzuiwa bidhaa za chakula kuingia katika eneo hilo.

  • UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    UNICEF: Ghaza imegeuzwa makaburi ya watoto, hakuna mwisho wa mateso wanayopata

    Aug 09, 2024 10:10

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, Ukanda wa Ghaza umegeuzwa makaburi ya watoto wa Kipalestina na hakuna mwisho wa machungu na mateso wanayopata watoto hao.

  • Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Jun 26, 2024 07:23

    Eneo la Ukanda wa Gaza linakabiliwa na hatari kubwa ya baa la njaa ikiwa ni matokeo ya hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Watoto wa Gaza; wahanga wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni

    Watoto wa Gaza; wahanga wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni

    Mar 16, 2024 11:16

    Kuchapishwa picha za vifo vya kutisha vya watoto wa Ukanda wa Gaza kutokana na njaa kwa mara nyingine tena kumepelekea kupuuziliwa mbali madai ya haki za binadamu yanayotolewa na nchi za Magharibi.

  • Hamas: Mauaji ya Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina yatambuliwe kuwa ni uhalifu

    Hamas: Mauaji ya Wazayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina yatambuliwe kuwa ni uhalifu

    Jun 05, 2023 10:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa wito wa kutambuliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto wa Kipalestina kuwa ni uhalifui na jinai, na kuwafungulia mashitaka wanaofanya jinai hizo.

  • 2021; mwaka wa vifo vingi zaidi vya watoto wa Palestina katika kipindi cha miaka 7 iliyopita

    2021; mwaka wa vifo vingi zaidi vya watoto wa Palestina katika kipindi cha miaka 7 iliyopita

    Dec 20, 2021 10:03

    Tovuti moja ya habari ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeripoti kuwa, baada ya mwaka 2014 yaani wakati vilipotokea vita vya siku 51 na kuuawa shahidi idadi kubwa ya watoto wa Palestina, mwaka huu wa 2021 ndio ulioshuhudia idadi kubwa zaidi ya watoto wa Kipalestina waliouliwa shahidi na Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS