-
Ismail Hania: Hii leo muqawama ni ngao ya taifa la Palestina
Sep 26, 2021 04:34Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo mapambano na muqawama ni upanga na ngao ya wananchi wa Palestina na kwamba, taifa la Palestina limeazimia na kukusanya nguvu zake kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake.
-
Makundi ya mapambano ya Palestina yaitahadharisha Israel
Sep 07, 2021 22:45Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametahadharisha kwamba, hali ya Ukanda wa Gaza inakaribia kuripuka na yameupa utawala wa Israel siku 15 kuruhusu bidhaa muhimu kwa ajili ya raia wa Palestina katika eneo hilo.
-
Jihad Islami: Machaguo mengi yatakuwa meza dhidi ya Israel iwapo mzingiro wa Gaza hautaondolewa
Sep 04, 2021 22:46Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetishia kuwa, machaguo mengi yatakuwa mezani dhidi ya utawala ghasibu wa Israel iwapo utawala huo hautaondoa mzingiro wa pande zote dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.
-
Matukio ya Afghanistan; sisitizo la umuhimu wa muqawama katika eneo la Asia Magharibi
Aug 27, 2021 22:07Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
-
Hamas yasisitiza kuendelezwa mapambano dhidi ya adui Mzayuni
Aug 25, 2021 23:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza udharura wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kutumia suhula na nyenzo zote.
-
Sayyid Nasrullah: Tunajivunia kuwa na uadui na Marekani na utawala haramu wa Israel
Aug 23, 2021 03:24Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, kambi ya muqawama inajivunia na uadu na ubeberu wa Marekani, uadui wa utawala haramu wa Israel na mipango ya utawala huo ghasibu dhidi ya harakati hii.
-
Hamas: Kukiri kushindwa Israel kunadhihirisha nguvu ya muqawama
Aug 15, 2021 22:06Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kukiri kushindwa katika vita vya karibuni huko Ghaza inadhihirisha nguvu iliyonayo wanamapambano wa Palestina.
-
"Muqawama wa Kiislamu utajibu hujuma zote za Israel dhidi ya Lebanon"
Aug 13, 2021 08:33Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapaswa kufahamu kuwa, muqawama wa Kiislamu utatoa majibu kwa mashambulizi yote ya Tel Aviv dhidi ya Lebanon.
-
Ismail Haniya: Iran ndiyo roho ya kambi ya muqawama
Aug 09, 2021 03:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo roho na moyo wa mrengo wa muqawama wa Kiislamu.
-
Jihad al Islami: Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Israel
Jul 12, 2021 22:06Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amewapongeza wanamapambano wa Palestina wanaojihami kwa silaha mbele ya jinai za Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kusema kuwa, hiyo ndiyo njia pekee ya kupambana na Israel.