-
Hizbullah ya Iraq: Baada ya Daesh kushindwa, Marekani na Israel zinapanga njama mpya
Nov 02, 2017 13:50Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu 'Kataib Hizbullah' nchini Iraq sambamba na kutangaza kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh lilikuwa na mpango wa uharibifu kupitia ajenda za Marekani, Israel na fedha za baadhi ya nchi za Kiarabu, imesema kuwa baada ya kumalizika vita dhidi ya kundi hilo Iraq inatakiwa kujiweka tayari kwa ajili ya njama mpya za Washington na washirika wake.
-
Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina
Nov 02, 2017 04:27Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuna haja ya kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa Wapalestina hawana chaguo jingine ghairi ya muqawama.
-
Sisitizo la kuendeleza muqawama katika mwaka wa 17 wa Intifadha ya al Aqsa
Sep 30, 2017 00:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS siku ya Alkhamisi ilitoa tamko na kusema kuwa, muqawama ni chaguo la kiistratijia la wananchi wa Palestina na ni haki ya wananchi hao kwa ajili ya kupambana na wavamizi wa ardhi zao.
-
HAMAS: Hakuna cha kuzungumzwa kuhusu silaha za muqawama
Sep 29, 2017 04:07Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwamba katika mazungumzo na harakati ya Fat-h, Hamas haikukubaliana na wazo la kuwapokonya silaha wanamuqawama na kwamba suala hilo halikujadiliwa katika mazungumzo yaliyopita wala halitojadiliwa katika mustakabali.
-
Hamas: Tutafungamana na chaguo la muqawama ili kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina
Sep 14, 2017 03:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa itaendelea kufungamana na chaguo la muqawama kama njia pekee ya kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina katika ardhi yenye uhuru na kujitawala.
-
Iran kuzidisha himaya na uungaji mkono kwa harakati za muqawama
Sep 03, 2017 02:51Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litaendelea kuyapa himaya na kuyaunga mkono makundi ya wanaharakati wa muqawama licha ya madola ya Magharibi kuitaka Tehran isiyaunge mkono makundi hayo.
-
Magaidi wa Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa Hizbullah ya Lebanon
Aug 27, 2017 10:08Wapiganaji wenye silaha wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wamejisalimisha kwa vikosi vya muqawama baada ya vikosi hivyo kuwakaribia magaidi hao katika eneo la mpaka wa pamoja wa Lebanon na Syria.
-
Mafanikio makubwa ya muqawama; kuongezeka kasi ya kuangamizwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)
Aug 25, 2017 23:23Mwenendo wa kuliangamiza na kulitokomeza kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh umezidi kushika kasi kutokana na azma thabiti na mkakati madhubuti unaotekelezwa na mhimili wa muqawama katika mapambano na kundi hilo.
-
Harakati za Palestina zaonya kuhusu jinai za Wazayuni katika Msikiti wa Al Aqsa
Jul 18, 2017 11:13Harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina katika Ukanda wa Ghaza zimetahadharisha kuhusu jinai mpya zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Dunia yalaani hatua ya Israel kuufunga Msikiti wa al-Aqsa
Jul 15, 2017 08:26Nchi za Kiislamu duniani zinaendelea kulaani hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuufunga Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu baada ya oparesheni ya Wapalestina dhidi wanajeshi wa Kizayuni karibu na msikiti huo.