Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mwanajeshi

  • M23 yatishia kulipiza kisasi dhidi ya jeshi la serikali ya DRC, yadai linashambulia raia Walikale

    M23 yatishia kulipiza kisasi dhidi ya jeshi la serikali ya DRC, yadai linashambulia raia Walikale

    Apr 05, 2025 02:36

    Kundi la waasi la M23 limetishia kulipiza kisasi iwapo majeshi ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yataendelea kushambulia raia katika eneo la Walikale.

  • Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Sep 20, 2019 14:54

    Askari 14 wa vikosi vya serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wameuliwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.

  • Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico

    Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico

    Jan 30, 2019 07:26

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo wameelekea katika mpaka wa Mexico kwa lengo la kile kilichotajwa kuwa ni kurejesha hali ya usalama katika eneo hilo.

  • Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Jan 28, 2019 08:10

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limedai kuwa wanachama wake wametekeleza shambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua askari 30 wa nchi hiyo.

  • Askari wa AMISOM wakamatwa kwa kuuza bidhaa za kikosi hicho

    Askari wa AMISOM wakamatwa kwa kuuza bidhaa za kikosi hicho

    Jun 07, 2016 07:33

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kinawazuilia askari wake watano wanaotuhumiwa kuuza kinyume cha sheria suhula na bidhaa za kikosi hicho.

  • Wanajeshi watatu wauawa kaskazini mwa Mali

    Wanajeshi watatu wauawa kaskazini mwa Mali

    Feb 24, 2016 13:30

    Watu wenye silaha wamefanya shambulio katika eneo la kaskazini mwa Mali na kuua wanajeshi watatu wa nchi hiyo.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS