-
M23 yatishia kulipiza kisasi dhidi ya jeshi la serikali ya DRC, yadai linashambulia raia Walikale
Apr 05, 2025 02:36Kundi la waasi la M23 limetishia kulipiza kisasi iwapo majeshi ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yataendelea kushambulia raia katika eneo la Walikale.
-
Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya
Sep 20, 2019 14:54Askari 14 wa vikosi vya serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wameuliwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.
-
Maelfu ya wanajeshi wa Marekani waelekea katika mpaka wa Mexico
Jan 30, 2019 07:26Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo wameelekea katika mpaka wa Mexico kwa lengo la kile kilichotajwa kuwa ni kurejesha hali ya usalama katika eneo hilo.
-
Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Jan 28, 2019 08:10Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limedai kuwa wanachama wake wametekeleza shambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua askari 30 wa nchi hiyo.
-
Askari wa AMISOM wakamatwa kwa kuuza bidhaa za kikosi hicho
Jun 07, 2016 07:33Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kinawazuilia askari wake watano wanaotuhumiwa kuuza kinyume cha sheria suhula na bidhaa za kikosi hicho.
-
Wanajeshi watatu wauawa kaskazini mwa Mali
Feb 24, 2016 13:30Watu wenye silaha wamefanya shambulio katika eneo la kaskazini mwa Mali na kuua wanajeshi watatu wa nchi hiyo.