Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Ayatullah Khatami: Mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar, ni maafa makubwa ya kibinaadamu

    Ayatullah Khatami: Mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar, ni maafa makubwa ya kibinaadamu

    Sep 15, 2017 09:27

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran, Ayatullah Sayyid Ahmad Khatami amesema kuwa, mauaji kuwalenga Waislamu wa Myanmar ni maafa makubwa ya kibinaadamu na kwamba, utawala haramu wa Israel unahusika nyuma ya pazia katika mauaji na kuwafanya malaki ya Waislamu kuwa wakimbizi.

  • Kamisheni ya Ulaya: Utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar unasikitisha mno

    Kamisheni ya Ulaya: Utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa Myanmar unasikitisha mno

    Sep 14, 2017 23:19

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amelaani vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar na kuvitaja kuwa ni maafa ya kusikitisha mno.

  • Jumuiya ya Waislamu wa Suni Pakistan: Iran ndio muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Myanmar

    Jumuiya ya Waislamu wa Suni Pakistan: Iran ndio muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Myanmar

    Sep 14, 2017 00:07

    Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Suni nchini Pakistan amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono wa kweli kwa Waislamu wa Rohingya wanaokandamizwa nchini Myanmar.

  • UN kusaidia Waislamu Warohingya waliokimbia  Myanmar

    UN kusaidia Waislamu Warohingya waliokimbia Myanmar

    Sep 13, 2017 03:18

    Idadi ya Waislamu wa jamii Warohingya ambao wanakimbia mateso na mauaji huko Myanmar inaongezeka kila uchao katika hali ambayo, mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wao wanaendelea kuhakikisha wanafikisha misaada ya dharura kwa wakimbizi hao ambao wengi wao ni Waislamu.

  • Nigeria yaitaka UN kusitisha maangamizi ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Nigeria yaitaka UN kusitisha maangamizi ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Sep 12, 2017 10:33

    Nigeria imelaani maangamizi yanayofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya na kuutaka Umoja wa Mataifa kutekeleza majukumu yake na kusitisha operesheni za kijeshi za kuwahamisha kwa mabavu Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Kiongozi Muadhamu: Ufumbuzi wa suala la Myanmar ni nchi za Kiislamu kuchukua hatua za kivitendo

    Sep 12, 2017 03:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar na kusisitiza kwamba: Njia ya utatuzi wa kadhia hii ni kuchukuliwa hatua za kivitendo na nchi za Kiislamu na kuishinikiza kisiasa na kiuchumi serikali isiyo na huruma ya Myanmar.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu yalaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu yalaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 12, 2017 00:11

    Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu imelaani vikali mauaji na jinai dhidi ya Waislamu Warohingya wa nchini Myanmar.

  • Nchi za Kiislamu zaafiki mpango wa UN wa kuwasaidia Waislamu Myanmar

    Nchi za Kiislamu zaafiki mpango wa UN wa kuwasaidia Waislamu Myanmar

    Sep 10, 2017 09:55

    Nchi za Kiislamu duniani zimeafiki mpango wa Umoja wa Mataifa wa kuwasaidia wakimbizi 300,000 Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ambao wamekimbilia nchini jirani ya Bangladesh kuokoa maisha yao.

  • Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Sep 10, 2017 02:45

    Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.

  • Zarif: Viongozi wa nchi za Kiislamu watazungumzia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanamr

    Zarif: Viongozi wa nchi za Kiislamu watazungumzia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanamr

    Sep 09, 2017 22:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema viongozi wa nchi za Kiislamu wanaokutana katika kikao cha Sayansi na Teknolojia nchini Kazakhstan watazungumzia pia jinai zinazoendelea kufanywa dhidi ya Waislamu wa Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS