Aug 03, 2023 03:04
Ayatullah Hussein Noori Hamedani ambaye ni miongoni mwa viongozi wakuu wa kidini katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran amesema, mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuchukua hatua nzito dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu kitakafu cha Qur'ani.