Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi za Kiislamu

  • Rais wa Iran atoa mkono wa Idi kwa viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu

    Rais wa Iran atoa mkono wa Idi kwa viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu

    Mar 31, 2025 03:21

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za mkono wa Idi na kuwapongeza viongozi na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuadhimisha na kushereheka Idul-Fitri, siku ya sherehe na furaha kubwa kwa Waislamu.

  • Mkutano wa Jeddah; licha ya kukamilisha lakini ni zaidi ya mkutano wa Cairo

    Mkutano wa Jeddah; licha ya kukamilisha lakini ni zaidi ya mkutano wa Cairo

    Mar 09, 2025 02:35

    Kufanyika mkutano wa dharura wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiislamu huko Jeddah mara baada ya mkutano wa dharura wa mawaziri wa Mambo ya Nje na Wakuu wa Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri kunaonyesha ushirikiano wa pamoja wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabiliana na mpango wa kuwafukuza kwa nguvu wakazi wa Ukanda wa Gaza na wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Feb 04, 2025 07:47

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.

  • Rais wa Iran: Kuundwa mfuko wa pamoja wa uwekezaji ni hatua ya kufikia malengo ya D8

    Rais wa Iran: Kuundwa mfuko wa pamoja wa uwekezaji ni hatua ya kufikia malengo ya D8

    Dec 19, 2024 11:15

    Rais wa Jamhuri ya Iran amekutaja kuanzishwa Mfuko wa Maendeleo wa kundi la D8 kwa ajili ya uwekezaji wa pamoja wa nchi za Kiislamu wanachama kuwa ni hatua madhubuti ya kupanua ushirikiano wa nchi wanachama.

  • Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuungana kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni

    Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuungana kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni

    Sep 29, 2024 06:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zina wajibu wa kuungana na kushikamana katika kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina na Lebanon.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuna udharura wa kukatwa mishipa ya uhai ya utawala wa Kizayuni

    Kiongozi Muadhamu: Kuna udharura wa kukatwa mishipa ya uhai ya utawala wa Kizayuni

    Jan 23, 2024 13:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Nchi za Kiislamu zinapaswa kukata uhusiano wao wa kisiasa na kiuchumi na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukata mishipa muhimu ya uhai ya utawala huo ghasibu.

  • Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Dec 15, 2023 02:58

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ametangaza utayarifu wa Bunge la Iran kufanya kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Palestina katika ngazi ya maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuchunguza njia za kivitendo za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Ayatullah Noori-Hamedani: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua nzito dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Ayatullah Noori-Hamedani: Mataifa ya Kiislamu yachukue hatua nzito dhidi ya kuvunjiwa heshima Qur'ani

    Aug 03, 2023 03:04

    Ayatullah Hussein Noori Hamedani ambaye ni miongoni mwa viongozi wakuu wa kidini katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran amesema, mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuchukua hatua nzito dhidi ya vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu kitakafu cha Qur'ani.

  • Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Rais wa Iran atoa mkono wa baraka za Idi kwa wakuu wa nchi zote za Waislamu

    Jun 29, 2023 02:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu na pongezi za Idi viongozi mbalimbali wa nchi za Waislamuu kwa mnasaba wa maadhimisho ya sikukuu ya Idul Adh'ha.

  • OIC na nchi  Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    OIC na nchi Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    May 19, 2023 10:28

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS