-
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Kizayuni awekwa karantini
Mar 31, 2020 02:01Ofisi ya Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa, Benjamin Netanyahu na wasaidizi wake kadhaa, wamewekwa karantini ya nyumbani.
-
Trump na Netanyahu wafunguliwa mashtaka ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu
Feb 28, 2020 04:24Raia kadhaa wa Marekani na Palestina wamefungua mashtaka dhidi ya viongozi wa Marekani na Israel ya 'kuunga mkono na kuhamasisha utendaji jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu' katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
HAMAS yamjibu Netanyahu: Muqawama umejiandaa kuufuta utawala wa Kizayuni katika historia
Feb 13, 2020 04:12Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuhusu vitisho alivyotoa waziri mkuu wa Israel dhidi ya harakati hiyo kwamba: Muqawama wa Palestina umejiandaa na kujiweka tayari kuufuta utawala wa Kizayuni katika ulingo wa historia.
-
Israel: Wazayuni kuanza kuitembelea Saudia kwa ziara za 'kidini' na kibiashara
Jan 26, 2020 09:37Wizara ya Mambo ya Ndani ya utawala haramu wa Israel imesema utawala huo pandikizi utaanza kuwaruhusu Wazayuni kuitembelea Saudi Arabia katika kile kinachotajwa kama safari za kidini na kibiashara.
-
Netanyahu apatwa na kiwewe cha jibu kali la muuqawama kufuatia jinai dhidi ya Luteni Soleimani
Jan 07, 2020 01:30Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel, amelegeza msimamo kunako msimamo wake wa awali wa kuunga mkono jinai ya kigaidi iliyofanywa na Marekani ya kuwaua shahidi viongozi wa mrengo wa muqawama, ambapo sasa amesema kuwa Israel haikuhusika katika shambulizi hilo la Marekani katika uwanja wa ndege wa Baghdad, Iraq.
-
Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu
Dec 30, 2019 04:01Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv karibuni hivi itasaini makubaliano ya amani na kuufanya wa kawaida uhusiano wake na nchi kadhaa za Kiarabu.
-
Netanyahu asalimu amri, akiri kushindwa kuunda serikali
Oct 22, 2019 04:32Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekiri kuwa ameshindwa kuunda serikali ya muungano, baada ya mazungumzo ya kisiasa kati yake na mshindani wake mkuu katika uchaguzi uliopita wa bunge, Benny Gantz kugonga mwamba.
-
Netanyahu katika njiapanda baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi
Sep 19, 2019 09:31Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ameingiwa na kiwewe baada ya kubwagwa katika uchaguzi wa Bunge la Israel (Knesset).
-
Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama
Sep 11, 2019 07:53Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni, vimeripoti habari ya kutimua mbio Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo, kufuatia kuvurumishwa na wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza makombora yaliyovilenga vitongoji vya walowezi wa utawala huo.
-
Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil
Sep 06, 2019 01:34Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.