-
Watu wenye silaha waangamizwa katikati mwa Nigeria
Apr 23, 2017 03:19Jeshi la polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa watu wawili katika jimbo la Niger la katikati mwa nchi hiyo.
-
Polisi watatu Niger wakamatwa baada ya mtu mmoja kuuawa katika maandamano ya wanafunzi
Apr 16, 2017 22:25Serikali ya Niger imetangaza kuwa maafisa watatu wa polisi wametiwa nguvuni baada ya kuripotiwa kuwa walimshambulia mwandamanaji mmoja katika maandamano yaliyogeuka kuwa ya fujo ya wanachuo yaliyosababisha kifo cha mtu mmoja na kupelekea kufungwa chuo kikuu kikubwa zaidi cha nchi hiyo.
-
Boko Haram wapata pigo jingine kubwa nchini Niger
Apr 10, 2017 23:18Afisa mmoja wa masuala ya usalama wa Niger alisema jana kwamba, wanamgambo 57 wa genge la kigaidi la Boko Haram waliuawa Jumapili usiku katika mapigano na wanajeshi wa serikali, kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mahakama ya Niger yawaachia huru watuhumiwa 15 wa jaribio la mapinduzi
Mar 25, 2017 11:57Mahakama ya Niger imewaachia huru watu 15 waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kupanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Mahamadou Issoufou wa nchi hiyo.
-
Kuundwa kundi shirikishi kwa ajili ya kupambana na wahajiri haramu
Mar 16, 2017 00:46Serikali za Uhispania, Ufaransa na Niger zimeunda muungano wa pamoja kwa ajili ya kupambana ipasavyo na kadhia ya wahajiri haramu na magendo ya binaadamu.
-
Rais Issoufou: Zaidi ya wanachama 100 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Niger
Mar 07, 2017 01:18Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, wamejisalimisha kwa jeshi la Niger, katika eneo la Diffa kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Niger yachelea athari za kijamii na kiuchumi za mashambulizi ya Boko Haram
Mar 05, 2017 12:35Rais wa Niger amesema ana wasiwasi wa athari hasi za mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram kwa hali ya kijamii na kiuchumi ya nchi hiyo.
-
Hali ya hatari yatangazwa mpaka wa Mali na Niger
Mar 04, 2017 12:38Serikali ya Niger imetangaza hali ya hatari katika mpaka wa nchi hiyo na nchi jirani ya Mali.
-
Wanajeshi wa Niger washambuliwa katika mpaka wa Mali
Feb 24, 2017 04:40Wanajeshi kadhaa ya Niger wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.
-
Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka
Jan 06, 2017 23:50Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger ametangaza kuwa, wanachama wengine wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo.