Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Rouhani: Iran kuimarisha uhusiano wake na Niger

    Rouhani: Iran kuimarisha uhusiano wake na Niger

    Dec 19, 2016 04:47

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Rais wa Niger Mahamadou Issoufou, kwa mnasaba wa kuadhimishwa Siku ya Taifa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya

    Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya

    Dec 17, 2016 13:33

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utaipatia mamilioni ya dola nchi ya Niger endapo itafanya juhudi za kuwazuia wahajiri wanaolekea Ulaya ambao wanapitia katika nchi hiyo.

  • Wakimbizi waliofukuzwa Algeria waingia nchini Niger

    Wakimbizi waliofukuzwa Algeria waingia nchini Niger

    Dec 10, 2016 10:26

    Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika waliofukuzwa nchini Algeria wameingia katika nchi jirani ya Niger.

  • UN: Waniger milioni mbili wanahitaji misaada ya kibinadamu

    UN: Waniger milioni mbili wanahitaji misaada ya kibinadamu

    Nov 26, 2016 00:23

    Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa watu wapatao milioni mbili watahitaji misaada ya kibinadamu nchini Niger.

  • Watu wenye silaha waua askari watano wa Niger

    Watu wenye silaha waua askari watano wa Niger

    Nov 08, 2016 23:08

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Niger imetangaza kuwa watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha nzito wakiwa wamepanda pikipiki na vipando vingine wamevamia kijiji kimoja na kuua askari askari watano karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mali.

  • Niger: Makundi yenye misimamo mikali yapigwe vita

    Niger: Makundi yenye misimamo mikali yapigwe vita

    Nov 04, 2016 04:11

    Serikali ya Niger imesema kuwa, makundi yenye silaha na yenye misimamo mikali huko kaskazini mwa Mali yanahusika na machafuko na mashambulizi ya hivi karibuni nchini humo.

  • 38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    Nov 02, 2016 11:00

    Watu 18 wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa katika mapigano makali kati ya wakulima na wafugaji nchini Niger.

  • Niger katika maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa wanajeshi wake

    Niger katika maombolezo ya kitaifa kufuatia kuuawa wanajeshi wake

    Oct 09, 2016 10:17

    Rais wa Niger ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa kote nchini humo kufuatia kuuliwa wanajeshi wake kadhaa katika shambulio la watu wenye silaha walioivamia kambi moja inayowahifadhi raia wa Mali katika eneo moja kaskazini magharibi mwa Niger.

  • Kuwekwa na Marekani kambi kubwa ya kijeshi nchini Niger

    Kuwekwa na Marekani kambi kubwa ya kijeshi nchini Niger

    Oct 01, 2016 04:17

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imetenga kwa akali kiasi cha Dola milioni 50 kwa ajili ya kuibadili kambi yake ya kijeshi mjini Agadez, katikati mwa Niger na kuwa mahala pa kuhifadhia ndege zake za kivita nchini humo.

  • Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger

    Wanajeshi wanne wa Chad wauawa mpakani na Niger

    Aug 27, 2016 23:35

    Wanajeshi wanne wa Chad wameuawa baada ya kuripuka bomu la kutegwa ardhini katika eneo moja la mpakani mwa nchi hiyo na Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS