Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Upinzani kususia duru ya pili ya uchaguzi wa rais Niger

    Upinzani kususia duru ya pili ya uchaguzi wa rais Niger

    Mar 09, 2016 04:29

    Muungano wa upinzani nchini Niger umesema mgombea wake wa kiti cha rais Hama Amadou hatoshiriki katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais dhidi ya Rais Mahamadou Issoufou aliyeko madarakani.

  • Mgombea wa urais Niger ambaye yuko jela kuwania duru ya pili

    Mgombea wa urais Niger ambaye yuko jela kuwania duru ya pili

    Feb 28, 2016 04:26

    Rais wa sasa wa Niger Mahamadou Issoufou anayewania kuongoza kwa muhula wa pili atachuana na mpinzani wake wa karibu Hama Amadou, ambaye yuko kizuizini katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Machi 20 mwaka huu.

  • Uchaguzi wa Rais nchini Niger waingia duru ya pili

    Uchaguzi wa Rais nchini Niger waingia duru ya pili

    Feb 28, 2016 04:08

    Uchaguzi wa Rais nchini Niger uliofanyika Jumapili iliyopita na kuwapambanisha wagombea 15 umeingia duru ya pili baada ya kukosekana mshindi katika duru ya kwanza.

  • Wapinzani Niger wakataa matokeo ya awali ya uchaguzi

    Wapinzani Niger wakataa matokeo ya awali ya uchaguzi

    Feb 24, 2016 04:43

    Vyama vya upinzani Niger vimepinga matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais ambayo yalionyesha rais wa sasa Mahammadou Issofou akiongoza.

  • Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi

    Feb 22, 2016 04:21

    Wananchi wa Niger wameilalamikia vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuendesha vibaya uchaguzi.

  • Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Wananchi wa Niger washiriki uchaguzi wa rais

    Feb 21, 2016 12:32

    Wananchi wa Niger waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kumchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, ambayo kwa muda sasa imekuwa ikikabiliwa na shambulio moja baada ya jingine kutoka kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS