-
Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa
Mar 18, 2016 11:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.
-
Jeshi la Cameroon laangamiza Boko Haram 20 nchini Nigeria
Mar 17, 2016 10:33Wanajeshi wa Cameroon wametangaza kuangamiza wanachama 20 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni iliyofanyika huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Boko Haram yaua Waislamu 22 waliokuwa wakisali msikitini
Mar 16, 2016 10:53Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria limewaua watu 22 waliokuwa wakisali katika msikiti wa jimbo la Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waislamu Nigeria watoa sharti la kufika mbele ya tume ya uchunguzi
Mar 15, 2016 11:51Waislamu nchini Nigeria wamekataa kufika mbele ya jopo lililobuniwa na serikali ya Abuja kuchunguza mauaji ya Waislamu wa Zaria Disemba mwaka jana, huku wakitoa sharti la kuachiwa huru msomi wa Kiislamu Sheikh Ibrahim Zakazky ambaye anazuiliwa katika mazingira magumu tangu wakati huo.
-
Mlipuko nje ya Banki Kuu ya Nigeria
Mar 12, 2016 04:45Mlipuko umejiri nje ya jengo la Banki Kuu ya Nigeria katika mji wa Calabar kusini mwa nchi hiyo na kupelekea watu wasiopungua wawili kuuawa na wengine 18 kujeruhiwa Ijumaa.
-
Mgogoro wa kisiasa nchini Niger
Mar 10, 2016 08:10Asasi za kiraia nchini Niger zimetoa indhari juu ya uwezekano wa kuibuka mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Idadi ya waliokufa baada ya jengo kuporomoka Nigeria yapindukia 30
Mar 10, 2016 04:31Idadi ya waliopoteza maisha baada ya jengo lenye ghorofa 5 kuporomoka katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos imepindukia 30.
-
Afrika Kusini yakanusha kutumba jeshi Nigeria kupambana na Boko Haram
Mar 09, 2016 23:12Jeshi la Afrika Kusini limekanusha habari kuwa litatatuma askari nchini Nigeria kupambana na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
-
Jeshi la Nigeria laendelea na oparesheni ya kuwaangamiza Boko Haram
Mar 07, 2016 12:48Jeshi la Nigeria limesema kuwa linaendelea na oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa Boko Haram katika maficho yao.
-
Buhari: Kutegemea mafuta kumevuruga uchumi wa Nigeria
Mar 06, 2016 03:42Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema kutegemea kupita kiasi pato la mafuta ya petroli ni chanzo kikuu cha matatizo ya kiuchumi nchini humo.