-
Wanaharakati: Rais Buhari anakiuka haki zote za Mashia Nigeria
Mar 01, 2016 04:31Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesema serikali ya nchi hiyo imekiuka haki zote za msingi za Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
-
Nigeria yaitaka Saudi Arabia itoe ripoti ya mwisho kuhusu Maafa ya Mina
Feb 28, 2016 23:07Rais wa Nigeria ameitaka Saudi Arabia iwasilishe ripoti ya mwisho kuhusu chunguzi zilizofanywa kuhusiana na Maafa ya Mina.
-
Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria
Feb 28, 2016 04:30Operesheni ya pamoja ya majeshi ya Nigeria na Cameroon imefanikiwa kuangamiza wanachama 100 wa kundi la kigaidi na kitafkiri la Boko Haram , kaskazini mashariki wa Nigeria.
-
Kuanza oparesheni ya kuwaaangamiza wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria
Feb 27, 2016 09:32Jeshi la Nigeria limesema kuwa tayari limeanza oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika majimbo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram
Feb 26, 2016 04:18Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kali dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram, ambayo ina lengo la kuwasambaratisha wanachama wa kundi hilo.
-
Boko Haram yasababisha maelfu ya watoto wa Nigeria kuwa wakimbizi
Feb 23, 2016 04:51Zaidi ya watoto 6,500 wako katika hatari ya kupoteza maisha yao kutokana na baa la njaa linalowakabili, katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria.
-
Mwanaharakati: Saudia ilihusika kukandamizwa Waislamu Nigeria
Feb 20, 2016 12:09Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeukosoa utawala wa Aal-Saud kwa kutumia mamilioni ya dola kuishinikiza serikali ya Nigeria kuwakandamiza wafuasi wa harakati hiyo.
-
Waislamu wa Nigeria wahofia usalama wa Sheikh Zakzaky
Feb 19, 2016 09:58Harun al-Binawi mjumbe wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amefafanua mazingira na hali mbaya anayoipitia Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi mkuu wa harakati hiyo.
-
Jeshi la Nigeria laharibu kambi za Boko Haram
Feb 17, 2016 11:40Jeshi la Nigeria limesema kuwa, limefanikiwa kuharibu kambi za wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika vijiji vya Doro na Kuda vya kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.
-
Maandamano Nigeria kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Feb 16, 2016 04:10Kwa mara nyingine tena maelfu ya wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano katika mji wa Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi, kushinikiza kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.