Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria laendelea na oparesheni ya kuwaangamiza Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laendelea na oparesheni ya kuwaangamiza Boko Haram

    Mar 07, 2016 12:48

    Jeshi la Nigeria limesema kuwa linaendelea na oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa Boko Haram katika maficho yao.

  • Buhari: Kutegemea mafuta kumevuruga uchumi wa Nigeria

    Buhari: Kutegemea mafuta kumevuruga uchumi wa Nigeria

    Mar 06, 2016 03:42

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema kutegemea kupita kiasi pato la mafuta ya petroli ni chanzo kikuu cha matatizo ya kiuchumi nchini humo.

  • Wanaharakati: Rais Buhari anakiuka haki zote za Mashia Nigeria

    Wanaharakati: Rais Buhari anakiuka haki zote za Mashia Nigeria

    Mar 01, 2016 04:31

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesema serikali ya nchi hiyo imekiuka haki zote za msingi za Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Nigeria yaitaka Saudi Arabia itoe ripoti ya mwisho kuhusu Maafa ya Mina

    Nigeria yaitaka Saudi Arabia itoe ripoti ya mwisho kuhusu Maafa ya Mina

    Feb 28, 2016 23:07

    Rais wa Nigeria ameitaka Saudi Arabia iwasilishe ripoti ya mwisho kuhusu chunguzi zilizofanywa kuhusiana na Maafa ya Mina.

  • Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Feb 28, 2016 04:30

    Operesheni ya pamoja ya majeshi ya Nigeria na Cameroon imefanikiwa kuangamiza wanachama 100 wa kundi la kigaidi na kitafkiri la Boko Haram , kaskazini mashariki wa Nigeria.

  • Kuanza oparesheni ya kuwaaangamiza wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kuanza oparesheni ya kuwaaangamiza wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Feb 27, 2016 09:32

    Jeshi la Nigeria limesema kuwa tayari limeanza oparesheni ya kuwaangamiza wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika majimbo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laanzisha operesheni kali dhidi ya Boko Haram

    Feb 26, 2016 04:18

    Jeshi la Nigeria limeanzisha operesheni kali dhidi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram, ambayo ina lengo la kuwasambaratisha wanachama wa kundi hilo.

  • Boko Haram yasababisha maelfu ya watoto wa Nigeria kuwa wakimbizi

    Boko Haram yasababisha maelfu ya watoto wa Nigeria kuwa wakimbizi

    Feb 23, 2016 04:51

    Zaidi ya watoto 6,500 wako katika hatari ya kupoteza maisha yao kutokana na baa la njaa linalowakabili, katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria.

  • Mwanaharakati: Saudia ilihusika kukandamizwa Waislamu Nigeria

    Mwanaharakati: Saudia ilihusika kukandamizwa Waislamu Nigeria

    Feb 20, 2016 12:09

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeukosoa utawala wa Aal-Saud kwa kutumia mamilioni ya dola kuishinikiza serikali ya Nigeria kuwakandamiza wafuasi wa harakati hiyo.

  • Waislamu wa Nigeria wahofia usalama wa Sheikh Zakzaky

    Waislamu wa Nigeria wahofia usalama wa Sheikh Zakzaky

    Feb 19, 2016 09:58

    Harun al-Binawi mjumbe wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amefafanua mazingira na hali mbaya anayoipitia Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi mkuu wa harakati hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS