-
Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram
Feb 14, 2016 03:38Watu 30 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika vijiji viwili vya kaskazini mwa Nigeria.
-
Wanaharakati 200 wa Kiislamu Nigeria wapandishwa kizimbani
Feb 11, 2016 03:45Wanaharakati wapatao 200 wa Kiislamu waliokamatwa katika operesheni ya kikatili ya jeshi la Nigeria mwezi Disemba mwaka jana wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume cha sheria na kuvuruga amani.
-
Makumi wauawa Nigeria katika mashambulizi ya Boko Haram
Feb 11, 2016 00:08Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi mawili ya bomu yaliyofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria linachunguza ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na Boko Haram
Feb 08, 2016 12:12Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, linachunguza ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 100 nchini Nigeria
Feb 07, 2016 04:02Maafisa wa kitengo cha Afya na Tiba nchini Nigeria wametangaza kuwa watu 101 wamefariki dunia kutokana na mripuko mpya wa homa ya Lassa uliotokea nchini humo.
-
Homa ya Lassa imeshaua zaidi ya watu 100 nchini Nigeria
Feb 07, 2016 04:00Maafisa wa kitengo cha Afya na Tiba nchini Nigeria wametangaza kuwa watu 101 wamefariki dunia kutokana na mripuko mpya wa homa ya Lassa uliotokea nchini humo.
-
Kaburi la umati la Waislamu wa Zaria lagunduliwa Nigeria
Feb 05, 2016 12:36Wanaharakati wa Nigeria wamegundua kaburi la umati la Waislamu waliouawa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria.
-
Malami: Mabilioni ya dola fedha za umma yameibwa nchini Nigeria
Feb 04, 2016 03:51Waziri wa Sheria wa Nigeria amesema kuwa mabilioni ya dola fedha za umma yameibwa nchini humo.