-
Nigeria: US inazilazimisha nchi za Afrika ziwapokee wakimbizi Wavenezuela
Jul 11, 2025 16:41Nigeria imefichua kuwa Marekani inazishinikiza nchi za bara Afrika kuwakubali wakimbizi wa Venezuela wanaofukuzwa nchini Marekani.
-
Asasi: Waasi, majambazi Nigeria wameua zaidi katika nusu ya kwanza ya 2025 kuliko 2024
Jul 08, 2025 14:34Idadi ya watu waliouawa na majambazi au waasi nchini Nigeria katika nusu ya kwanza ya mwaka huu, ni kubwa mno kuliko idadi ya waliouawa mwaka wote wa 2024, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa jana Jumanne na shirika la haki za binadamu la Nigeria.
-
Kadhaa wauawa na kujeruhiwa Nigeria katika shambulio la Boko Haram
Jul 07, 2025 06:56Kwa akali watu tisa wameuawa huku wengine wanne wakijeruhiwa katika shambulizi la magaidi wa Boko Haram dhidi ya jamii ya Malam Fatori katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Sheikh Zakzaky aipongeza Iran kwa kuibuka mshindi dhidi ya Israel
Jul 06, 2025 14:42Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amepongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuichakaza na kuibuka mshindi dhidi ya Israel katika vita vya siku 12.
-
Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote
Jun 16, 2025 07:08Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.
-
Watu 200 wafariki dunia kwa janga la mafuriko Nigeria
Jun 04, 2025 05:51Mafuriko makubwa yaliyotokea kaskazini mwa Nigeria wiki iliyopita yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 200.
-
Wasomi Nigeria: Falsafa ya Imam Khomeini ni kuwa, uongozi unatokana na watu
Jun 02, 2025 06:45Wasomi nchini Nigeria wamesisitiza kuwa, alama kuu ya kumbukumbu na urithi wa Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomein (MA) ni msimamo wake kuwa mamlaka na nguvu za uongozi zipo mikononi mwa wananchi.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno
May 31, 2025 10:21Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaua wanachama 60 wa kundi la kigaidi la Boko Haram baada ya kuzima shambulio dhidi ya kambi ya kijeshi huko Bita, eneo la Gwoza, kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Nigeria
May 31, 2025 02:21Makumi ya watu wamepoteza maisha huku maelfu ya wengine wakilazika kuhama makazi yao kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lashadidisha operesheni dhidi ya Boko Haram
May 24, 2025 07:02Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaangamiza wanachama 16 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi, huku operesheni dhidi ya magaidi hao zikichachamaa.