-
Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon
Feb 24, 2025 03:06Kiongozi wa Waislamu wa madhebeu ya Shia nchini Nigeria amesisitiza kuwa, kushiriki mamilioni ya watu katika mazishi ya Mashahidi wa Muqawama ni sawa na "kuzaliwa upya Muqawama wa Lebanon".
-
Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria
Feb 14, 2025 12:10Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya ubalozi wa Canada katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, kumnyima yeye na maafisa wengine wakuu wa kijeshi viza ya kwenda Canada kuhudhuria hafla ya michezo ya maveterani wa vita huko Vancouver.
-
Polisi ya Nigeria yakadhibisha kutoweka maelfu ya bunduki
Feb 13, 2025 11:20Jeshi la Polisi la Nigeria limekanusha ripoti kwamba maelfu ya silaha zimetoweka kwenye maghala yake ya silaha na kuitaja rupoti hiyo kuwa ni ya kupotosha na isiyo sahihi.
-
Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel
Feb 10, 2025 11:26Kundi moja la wajasiriamali wadogo na wa kati nchini Nigeria, limeandaa mkutano wa siku mbili katika Jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa nchi, kujadili mikakati ya kibiashara na umuhimu wa kususia bidhaa za Israel, ili kuonyesha uungaji mkono kwa kadhia ya Palestina.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram
Jan 27, 2025 12:25Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema wanamgambo wasiopungua 70 wa Boko Haram waliuawa katika msururu wa operesheni za karibuni za kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Makumi ya wanajeshi wa Nigeria wauawa katika shambulio la kigaidi
Jan 27, 2025 02:25Watu wanaoshukiwa kuwa magaidi wamewaua wanajeshi 20 wa Nigeria, akiwemo kkamanda wa ngazi ya juu, baada ya kushambulia kambi moja ya jeshi katika jimbo la Borno la kaskazini mashariki.
-
Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18
Jan 26, 2025 14:03Mamlaka za Nigeria zimeanzisha uchunguzi baada ya watu 18 kuthibitishwa kufariki dunia kwenye mripuko wa lori la mafuta ya petroli.
-
Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina
Jan 25, 2025 11:33Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili ya kuzienzi familia za wafuasi wake waliopoteza maisha katika harakati za kupigania haki nchini Nigeria na katika kadhia ya Palestina.
-
Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi
Jan 25, 2025 02:56Kujiunga Nigeria na jumuiya ya BRICS kama nchi mshirika ni hatua kubwa kuelekea ufufuaji wa uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi.
-
Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno
Jan 09, 2025 03:10Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa vikosi vyake vimewaua magaidi 34 wa kundi la Boko Haram katika mapigano ya silaha kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno huku wanajeshi sita pia wakipoteza maisha.