Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Zakzaky na njama za mabeberu nchini Nigeria

    Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Zakzaky na njama za mabeberu nchini Nigeria

    Jul 03, 2021 06:22

    Mahakama ya Nigeria kwa mara nyingine tena imeakhirisha kikao cha kusikilizwa kesi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi tarehe 28 Julai licha ya Waislamu wa nchi hiyo kutaka mwanazuoni huyo aachiwe huru.

  • Kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yapigwa tarehe tena nchini Nigeria

    Kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky yapigwa tarehe tena nchini Nigeria

    Jul 02, 2021 02:13

    Mahakama ya Nigeria imeipiga tena tarehe kesi ya kiongozi wa Harakati ya Kisilamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi mwishoni mwa mwezi huu wa Julai.

  • Wabeba silaha 14 waliojaribu kushambulia kituo cha polisi Nigeria wauawa

    Wabeba silaha 14 waliojaribu kushambulia kituo cha polisi Nigeria wauawa

    Jun 20, 2021 22:22

    Polisi nchini Nigeria imefanikiwa kuangamiza wabeba silaha 14 waliojaribu kuvamia kituo kimoja cha polisi katika jimbo la Benue, la katikati mwa nchi.

  • Wanafunzi wengine zaidi ya 80 watekwa nyara nchini Nigeria

    Wanafunzi wengine zaidi ya 80 watekwa nyara nchini Nigeria

    Jun 18, 2021 03:32

    Zaidi ya wanafunzi 80 wa Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa Nigeria.

  • Nigeria: Kifo cha kiongozi wa Boko Haram kimethibitishwa bila shaka yoyote

    Nigeria: Kifo cha kiongozi wa Boko Haram kimethibitishwa bila shaka yoyote

    Jun 17, 2021 08:02

    Kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la wanamgambo wa Boko Haram wenye makao yao nchini Nigeria kimethibitishwa pasina shaka yoyote. Taarifa hiyo imetolewa kupitia tangazo kwa njia ya video lililotolewa na kiongozi mpya wa Boko Haram, Bakura Modu.

  • Kero la ugaidi; 50 wauawa Burkina Faso na Nigeria

    Kero la ugaidi; 50 wauawa Burkina Faso na Nigeria

    Jun 15, 2021 22:05

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa magaidi 25 wameuliwa katika operesheni iliyofanywa na askari wa jeshi hilo.

  • Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Jun 12, 2021 22:20

    Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.

  • Wanakijiji 90 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Wanakijiji 90 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Jun 12, 2021 08:13

    Watu wasiopungua 90 wameuawa baada ya genge la watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kijiji kimoja huko Kaskazini Magharibi mwa Nigeria.

  • Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria

    Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria

    Jun 07, 2021 22:22

    Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu na taasisi za elimu ya juu za Nigeria wameandaa Wiki ya Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika jimbo la Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Jumuiya za kimataifa zalaani hatua ya Nigeria ya kuifungia Twitter

    Jumuiya za kimataifa zalaani hatua ya Nigeria ya kuifungia Twitter

    Jun 07, 2021 03:32

    Jumuiya za kimataifa na balozi za nchi za kigeni nchini Nigeria zimelaani hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuufungia mtandao wa kijamii wa Twitter kwa muda usiojuliikana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS