Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Serikali ya Nigeria yaufungia mtandao wa Twitter kwa muda usiojulikana

    Serikali ya Nigeria yaufungia mtandao wa Twitter kwa muda usiojulikana

    Jun 05, 2021 07:12

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, hatua ya mtandao wa kijamii wa Twitter ya kuufuta ujumbe mmoja wa Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo haikubaliki kabisa hivyo Abuja ameamua kuufungia mtandao huo kwa muda usiojulikana. Twitter kwa upande wake imesema inafuatilia kwa kina suala hilo.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jun 03, 2021 22:15

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza magaidi wasiopungua 50 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Jun 02, 2021 07:02

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu nchini Nigeria na vilevile jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimeitaka serikali ya Nigeria kuchukua hatua madhubuti za kukomboa karibu wanafunzi 200 wa shule moja ya Kiislamu waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu katikati mwa Nigeria.

  • Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Jun 01, 2021 21:58

    Makundi ya kigaidi katika eneo la Afrika Magharibi hasa nchini Nigeria yamekithirisha vitendo vya uhalifu, na katika tukio la hivi karibuni wanafunzi karibu 200 wa shule moja ya Kiislamu wametekwa nyara kati mwa Nigeria.

  • Wanamgambo 10 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Wanamgambo 10 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Jun 01, 2021 03:47

    Wanamgambo 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa kwenye operesheni iliyoendeshwa na jeshi la Nigeria.

  • Makumi watoweka baada ya boti kuzama mtoni nchini Nigeria

    Makumi watoweka baada ya boti kuzama mtoni nchini Nigeria

    May 27, 2021 02:55

    Makumi ya watu hawajulikana waliko baada ya boti iliyokuwa imejaza abiria kupindukia kuzama katika mto mmoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Kamanda wa Majeshi ya Nigeria Ibrahim Attahiru afariki dunia katika ajali ya ndege

    Kamanda wa Majeshi ya Nigeria Ibrahim Attahiru afariki dunia katika ajali ya ndege

    May 22, 2021 12:01

    Mkuu wa Majeshi ya Nigeria Luteni Jenerali Ibrahim Attahiru, amepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokkea katika jimbo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo la Kaduna.

  • Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    May 22, 2021 02:05

    Serikali na jeshi la Nigeria limethibitisha habari zinasosema kuwa, Abubakar Shekau, mkuu wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram amejipiga risasi begani katika jaribio la kutaka kujiua. Hii ni katika hali ambayo vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa, Shekau amejiua.

  • Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    May 08, 2021 07:51

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Bunge la Nigeria lataka kushughulikiwa tatizo la ukosefu wa usalama unaoikabili nchi

    Bunge la Nigeria lataka kushughulikiwa tatizo la ukosefu wa usalama unaoikabili nchi

    Apr 29, 2021 03:35

    Bunge la Nigeria limepasisha maazimio kadhaa yanayomtaka Rais wa nchi, vikosi vya ulinzi na jeshi la polisi nchini humo kushughulikia tatizo la ukosefu wa usalama katika baadhi ya majimbo ya nchi hiyo ambalo limekuwa likiyatesa maeneo hayo kwa miaka kadhaa sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS