-
Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha
Apr 27, 2021 02:46Kikosi cha usalama nchini Nigeria ckimewatia nguvuni wanachama 40 wa genge la watu waliokuwa na silaha wakati wa operesheni iliyofanyika katika jimbo la kusini la Edo.
-
Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 30 kaskazini magharibi mwa nchi
Apr 21, 2021 01:50Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza kuwa limeua wabeba silaha 30, baada ya genge la majambazi kuvamia vijiji vinne huko kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia
Apr 19, 2021 03:17Kikosi cha askari polisi 144 wa Nigeria kimewasili nchini Somalia, kwenda kupiga jeki jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watekaji nyara watishia kuua makumi ya wanafunzi wa Nigeria
Apr 18, 2021 22:23Genge la wabeba silaha lililoteka wanafunzi karibu 30 wa taasisi moja ya elimu ya juu katika jimbo la Kaduna huko kaskazini magharibi mwa Nigeria mwezi uliopita limetishia kuwaua vijana hao wa kike na kiume, baada ya serikali kukataa kuwapa kikomboleo.
-
Wanigeria wataka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Apr 17, 2021 03:05Mamia ya wafuasi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN), wamefanya maandamano wakitaka kuachiwa huru kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe, Mallimah Zeenah.
-
Raia 65,000 wahama makazi yao kaskazini mashariki ya Nigeria kukimbia mashambulio ya kundi la ISWAP
Apr 16, 2021 22:12Shirka la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limeripoti kuwa, watu wasiopungua 65,000 wameuhama mji wa Damasak kaskazini mashariki ya Nigeria kufuatia mashambulio kadhaa ya kundi la wabeba silaha.
-
Watu wenye silaha wauwa wanajeshi 11 katika jimbo la Benue, Nigeria
Apr 09, 2021 11:04Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa wanajeshi wa nchi hiyo waliokuwa wakifanya kazi jimbo la Benue katikati mwa nchi hiyo wameshambuliwa na watu wenye silaha wakiwa kazini.
-
Mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu waua 50 nchini Nigeria
Apr 06, 2021 22:59Makumi ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mripuko wa maradhi ya kipindupindu nchini Nigeria.
-
Milio mikubwa ya risasi yasikika karibu na ofisi ya rais nchini Niger
Mar 31, 2021 03:13Milio mikubwa ya risasi imesikika mapema leo karibu na ofisi ya rais wa Niger katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey, siku mbili kabla ya kuapishwa rais mpya Mohamed Bazoum.
-
Mji wa Maiduguri wasalia bila ya umeme kwa mara nyingine tena baada ya shambulio la Daesh
Mar 29, 2021 00:01Shirika la Taifa la Umeme la Nigeria limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme kwa mara nyingine tena katika mji wa Maiduguri makao makuu ya jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo baada ya shambulio la kundi la kigaidi la Daesh.