Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Idadi ya raia waliouawa na Boko Haram huko Maiduguri yaongezeka na kufikia 65

    Idadi ya raia waliouawa na Boko Haram huko Maiduguri yaongezeka na kufikia 65

    Jul 29, 2019 00:08

    Idadi ya watu waliuawa kaskazini mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuwashambulia watu waliokuwa wakitoka msibani imeongezeka na kufikia 65.

  • Watu 23 wauawa kwa mashambulio ya kundi la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria

    Watu 23 wauawa kwa mashambulio ya kundi la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria

    Jul 28, 2019 07:29

    Watu wasiopungua 23 wameuawa kaskazini mwa Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kufanya mashambulio katika maeneo hayo.

  • Guterres aombwa kufuatilia hali ya Sheikh Zakzaky ili apatiwe matibabu

    Guterres aombwa kufuatilia hali ya Sheikh Zakzaky ili apatiwe matibabu

    Jul 24, 2019 22:08

    Wasomi na wanafikra 52 wamemwandikia barua Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakimtaka asaidie jitihada za kuwaondoa huko Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe Malam Zeenat ili waweze kupatiwa matibabu nje ya nchi haraka iwezekanavyo.

  • Wasomi 52 wamtaka Guterres aingilie kati kadhia ya Sheikh Zakzaky

    Wasomi 52 wamtaka Guterres aingilie kati kadhia ya Sheikh Zakzaky

    Jul 23, 2019 12:34

    Wasomi na wanafikra 52 wamemtaka Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asaidie jitihada za kutaka kuachiwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky huko Nigeria kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

  • Waislamu 6 wafuasi wa Sheikh Zakzaky wauawa kwa kupigwa risasi, Abuja

    Waislamu 6 wafuasi wa Sheikh Zakzaky wauawa kwa kupigwa risasi, Abuja

    Jul 22, 2019 23:52

    Wafuasi 6 wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi wa Nigeria mjini Abuja.

  • Mahakama yaakhirisha kutoa hukumu dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Mahakama yaakhirisha kutoa hukumu dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 22, 2019 03:29

    Mahakama Kuu katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria imeakhirisha kutoa hukumu ya kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Chama cha madaktari Iran chaonya kuhusiana na hali ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Chama cha madaktari Iran chaonya kuhusiana na hali ya Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 21, 2019 06:45

    Chama cha Wahadhiri na Wanachuo wa Sayansi ya Tiba nchini Iran kimetahadharisha kuhusiana na hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Makumi ya raia wauawa kaskazini magharibi mwa Nigeria, jeshi latumwa kulinda amani

    Makumi ya raia wauawa kaskazini magharibi mwa Nigeria, jeshi latumwa kulinda amani

    Jul 21, 2019 03:07

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, raia wasiopungua 37 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na makundi ya watu wenye silaha huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Zakzaky

    Jul 20, 2019 02:59

    Waislamu na wanaharakati nchini Nigeria jana Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo licha ya kukabiliwa kwa mkono wa chuma na maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Mahakama ya Nigeria yachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kutibiwa nje ya nchi

    Mahakama ya Nigeria yachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kutibiwa nje ya nchi

    Jul 18, 2019 22:06

    Duru za kieneo zimetangaza kuwa, Mahakama Kuu ya Nigeria inachunguza uwezekano wa kuruhusiwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongbozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo kwenda kutibiwa nje ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS