Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jeshi la Nigeria laendelea kumwaga damu za wafuasi wa Zakzaky

    Jul 17, 2019 02:52

    Mtu mmoja ameuawa na maafisa usalama katika mji wa Kano nchini Nigeria wakati wa maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.

  • Maulamaa wa Iran waitaka Nigeria imuachie huru Sheikh Zakzaky

    Maulamaa wa Iran waitaka Nigeria imuachie huru Sheikh Zakzaky

    Jul 16, 2019 02:44

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Hauza ya Kidini ya Qom hapa nchini Iran sambamba na kulaani kuendelea kushikiliwa korokoroni katika mazingira mabaya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi Nigeria, wameitaka serikali ya Abuja imuachie huru kiongozi huyo wa Waislamu ya madhehebu ya Shia.

  • Msimamo wa Waislamu wa Nigeria wa kuendelea kufuatilia takwa la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Msimamo wa Waislamu wa Nigeria wa kuendelea kufuatilia takwa la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jul 15, 2019 05:56

    Waislamu wa Nigeria wameendelea na maandamano yao katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Maandamano makubwa yafanyika Kano Nigeria ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Maandamano makubwa yafanyika Kano Nigeria ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 14, 2019 22:04

    Mji wa Kano nchini Nigeria jana (Jumapili) ulishuhudia maandamano makubwa ya kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa korokoroni kwa miaka kadhaa sasa.

  • Mlipuko wa kipindupindu waua makumi Cameroon na Nigeria

    Mlipuko wa kipindupindu waua makumi Cameroon na Nigeria

    Jul 12, 2019 20:37

    Makumi ya watu wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu kaskazini mwa Cameroon tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 09, 2019 23:50

    Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.

  • Umoja wa Mataifa: Kuna watoto 8,000 wanatumiwa na Boko Haram kama askari vitani

    Umoja wa Mataifa: Kuna watoto 8,000 wanatumiwa na Boko Haram kama askari vitani

    Jul 09, 2019 22:06

    Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ametangaza kuwa, kwa uchache watoto 8,000 wanatumiwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kama askari vitani.

  • Iran yamuita balozi wa Nigeria nchini kuhusu hali ya Sheikh Zakzaky

    Iran yamuita balozi wa Nigeria nchini kuhusu hali ya Sheikh Zakzaky

    Jul 09, 2019 03:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi mdogo wa Nigeria hapa mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi pamoja na kumueleza wasiwasi wa taifa hili kuhusu ripoti zinazoashiria kuwa mbaya zaidi hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wanajeshi 18 wa Niger wauawa katika hujuma dhidi ya kambi yao

    Wanajeshi 18 wa Niger wauawa katika hujuma dhidi ya kambi yao

    Jul 02, 2019 07:30

    Kwa akali askari 18 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kambi ya jeshi magharibi mwa Niger.

  • Wanigeria waandamana kupinga kundi linalodai kuwa eti linapambana na Boko Haram

    Wanigeria waandamana kupinga kundi linalodai kuwa eti linapambana na Boko Haram

    Jul 01, 2019 08:22

    Kufutia mauaji ya dereva mmoja kaskazini mashariki mwa Nigeria yaliyofanywa na kundi la wanamgambo linalodai kuwa linapambana na wanamgambo wa Boko Haram, maelfu ya Wanigeria wamefanya maandamano makubwa wakitaka kuhitimishwa shughuli za kundi hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS