-
Kupewa sumu Sheikh Zakzaky na kuongezeka malalamiko ya Waislamu nchini Nigeria
Jun 28, 2019 11:31Baada ya kupita miaka mitatu na nusu tangu serikali ya Nigeria ianze kumshikilia kinyume cha sheria Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na kuendelea kukaidi amri ya Mahakama Kuu ya kuachiliwa huru mwanachuoni huo, hivi sasa hali ya kiongozi huyo wa Waislamu imezidi kuwa mbaya.
-
Magaidi waua wanajeshi 15 kaskazini mwa Nigeria
Jun 19, 2019 03:04Wanajeshi 15 wa Nigeria wameuawa katika shambulizi linaloaminika kutekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Magaidi 20 waangamizwa na maafisa usalama kaskazini mwa Mali
Jun 16, 2019 03:07Kwa akali magaidi 20 wameuawa katika operesheni ya kutokomeza ugaidi inayojulikana kama 'Barkhane' huko kaskazini mashariki mwa Mali.
-
Magaidi wa Daesh wadai kuua makumi ya askari nchini Nigeria
Jun 14, 2019 23:23Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Magharibi mwa Afrika (ISWA) limedai kwamba limeua makumi ya askari wa Nigeria huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watu 25 wauawa kwenye hujuma ya wanamgambo nchini Nigeria
Jun 10, 2019 07:08Watu 25 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na kundi la watu waliokuwa na silaha jimboni Sokoto, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Polisi ya Nigeria yakosolewa kwa kuwashambulia waandamanaji Siku ya Quds
Jun 01, 2019 06:51Polisi ya Nigeria imekosolewa vikali kwa kuwashambuliwa Waislamu na wanaharakati walioshiriki matembezi ya amani ya Siku ya Kimataifa ya Quds jana Ijumaa.
-
Waislamu wazidi kuandamana Nigeria kushinikiza kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
May 29, 2019 06:46Maelfu ya wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja kushinikiza kuachiliwa huru haraka iwezekanavyo, mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Wanajeshi 25 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya magaidi wa Boko Haram
May 26, 2019 03:50Wanajeshi 25 wa Nigeria wameuawa katika hujuma ya kuvizia ambayo imetekelezwa na magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram.
-
Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza
May 25, 2019 05:54Utafiti mpya umefichua kuwa, takriban watu milioni 10 katika kanda ya Afrika Mashariki wanavuta bangi kinyume cha sheria, huku Tanzania ikishika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo.
-
Jeshi la Nigeria lawafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kuachiwa Sheikh Zakzaky
May 18, 2019 10:08Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya jeshi la Nigeria kuwafyatulia risasi hai waandamanaji wanaotaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.