Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 80 wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhani jimboni Kano, Nigeria

    Watu 80 wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhani jimboni Kano, Nigeria

    May 17, 2019 02:59

    Polisi wanaosimamia sheria za Kiislamu (Sharia) katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria wamewatia mbaroni watu 80 kwa tuhuma za kula mchana hadharani, wakati huu wa funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Nigeria kuogopa mashambulizi ya Boko Haram

    Maelfu ya watu wakimbia makazi yao Nigeria kuogopa mashambulizi ya Boko Haram

    May 15, 2019 03:18

    Maelfu ya wanavijiji wamekimbia makazi yao kaskazini mashariki mwa Nigeria wakikwepa mashambulizi ya kigaidi ya Boko Haram katika mji wa Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanajeshi 11 wa Nigeria wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram

    Wanajeshi 11 wa Nigeria wauawa na kundi la kigaidi la Boko Haram

    May 12, 2019 08:29

    Wanajeshi wasiopungua 11 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Magaidi wa Daesh wadai wameua askari 11 kaskazini mwa Nigeria

    Magaidi wa Daesh wadai wameua askari 11 kaskazini mwa Nigeria

    May 12, 2019 02:19

    Wanajeshi 11 wa serikali wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la wanamgambo wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • UNICEF: Wapiganaji watiifu kwa serikali ya Nigeria wawaachia huru watoto 900

    UNICEF: Wapiganaji watiifu kwa serikali ya Nigeria wawaachia huru watoto 900

    May 11, 2019 03:14

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa, kundi la wapiganaji wenye mfungamano na vikosi vya serikali ya Nigeria limewaachia huru mamia ya watoto waliokuwa wakitumiwa na kundi hilo katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

  • Polisi wa Nigeria watuhumiwa kuwabaka washukiwa wa ukahaba

    Polisi wa Nigeria watuhumiwa kuwabaka washukiwa wa ukahaba

    May 07, 2019 03:06

    Jeshi la Polisi la Nigeria linachunguza madai kuwa baadhi ya maafisa wake waliwabaka mamia ya wanawake waliowakamata kwa tuhuma za kujihusisha na ukahaba.

  • Larijan: Iran na Nigeria kuimarisha ushirikiano wao wa kibiashara

    Larijan: Iran na Nigeria kuimarisha ushirikiano wao wa kibiashara

    May 05, 2019 23:16

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mazingira yameandaliwa kwa ajili ya kuimarisha na kupanua ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria katika uga wa biashara.

  • Wanajeshi 30 wa Nigeria watoweka kufuatia shambulizi la Boko Haram

    Wanajeshi 30 wa Nigeria watoweka kufuatia shambulizi la Boko Haram

    Apr 30, 2019 02:18

    Wanajeshi watano wa Nigeria wameuawa na wengine 30 kutoweka kufuatia shambulizi lililofanywa na magaidi wa Boko Haram katika kambi ya wanajeshi hao.

  • "Iran ni mpiganiaji mkubwa wa umoja wa nchi za Kiislamu"

    Apr 28, 2019 11:37

    Mtaalamu mmoja wa ulimwengu wa Kiislamu kutoka Nigeria amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima iko mstari wa mbele katika kupigania umoja na mshikamano baina ya nchi za Kiislamu.

  • Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Apr 26, 2019 03:42

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria ametoa radiamali kufuatia uamuzi wa Marekani wa kufuta kibali cha ununuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, ni jambo lisilowezekana kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kwenye kiwango cha sifuri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS