-
Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria
Apr 18, 2019 22:31Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la kuvizia nchini Nigeria
Apr 16, 2019 21:59Kwa akali watu 16 wameuawa huku wengine 14 kujeruhiwa katika shambulizi la kuvizia lililofanywa na watu waliojizatiti kwa silaha katika eneo la Nasarawa magharibi mwa Nigeria.
-
UNICEF: Watoto zaidi ya 3,500 wametumika vitani Nigeria tangu 2013
Apr 12, 2019 20:45Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limesema zaidi ya watoto 3,500 wengi wakiwa na umri wa kati ya miaka 13 hadi 17 waliingizwa na kutumiwa katika vita vinavyoendelea Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na makundi yenye silaha yasiyo ya kiserikali
-
Watu 20 wauawa na 'watu wenye sare za kijeshi' Nigeria
Apr 09, 2019 10:06Kwa akali watu 20 wameuawa baada ya watu waliokuwa wamevalia magwanda ya kijeshi kushambulia kijijini kimoja katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
-
Makumi wauawa katika shambulio kaskazini mwa Nigeria
Apr 06, 2019 03:21Kwa akali watu 50 wameuawa katika shambulio la wavamizi waliobeba silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Mar 21, 2019 11:30Kwa mara nyingine tena, wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
9 wauawa katika shambulio la silaha Nigeria
Mar 17, 2019 03:39Vyombo rasmi nchini Nigeria vimetangaza kuwa watu 9 wameuawa katika shambulio jipya la watu waliokuwa na silaha katika kijiji kimoja kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Walioaga dunia baada ya jengo kuporomoka Nigeria wafika 20
Mar 15, 2019 12:02Kamishna wa Afya katika jimbo la Lagos nchini Nigeria amesema idadi ya watu waliopoteza maisha baada jengo kuporomoka imeongezeka na kufikia watu 20.
-
Magaidi 50 wa kundi la Boko Haram waangamizwa na majeshi ya nchi nne
Mar 11, 2019 04:27Jeshi la Nigeria limetangaza kwamba magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni za kikosi cha pamoja cha Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.
-
Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi
Mar 06, 2019 03:55Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, imewatia nguvuni zaidi ya watu 300 kwa tuhuma za kufanya uhalifu unaohusiana na uchaguzi wa mkuu uliofanyika mwezi uliopita.