-
Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 28, 2018 11:05Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Wafanyakazi wa umma Nigeria waanza mgomo wa nchi nzima
Sep 27, 2018 12:08Wanachama wa miungano mikuu ya wafanyakazi wa umma nchini Nigeria wameanza mgomo wa taifa zima leo Alkhamisi, baada ya mazungumzo kati yao na serikali kuhusu nyongeza ya kima cha chini cha mshahara kugonga mwamba.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara
Sep 25, 2018 10:41Askari wa jeshi la Nigeria wamewaua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram katika operesheni inayolenga kutokomeza mabaki ya kundi hilo la kigaidi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz
Sep 25, 2018 04:44Kikundi kimoja cha watoto kimefanya matembezi ya amani katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, kumkumbuka na kumuenzi mtoto wa miaka minne aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigadi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran.
-
Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria
Sep 22, 2018 23:58Watu wasiopungua 97 wamefariki dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mripuko wa maradhi ya kipindupindu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura
Sep 21, 2018 23:41Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.
-
Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 20, 2018 22:53Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.
-
IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya
Sep 18, 2018 23:16Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, asilimia 80 ya wasichana wa Kinigeria wanaoingia Italia kupitia njia ya bahari wanatumiwa kama watumwa wa ngono.
-
Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria
Sep 18, 2018 02:43Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno
Sep 16, 2018 21:52Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.