Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kundi la Boko Haram lashambulia kambi ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 28, 2018 11:05

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio jingine dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wafanyakazi wa umma Nigeria waanza mgomo wa nchi nzima

    Wafanyakazi wa umma Nigeria waanza mgomo wa nchi nzima

    Sep 27, 2018 12:08

    Wanachama wa miungano mikuu ya wafanyakazi wa umma nchini Nigeria wameanza mgomo wa taifa zima leo Alkhamisi, baada ya mazungumzo kati yao na serikali kuhusu nyongeza ya kima cha chini cha mshahara kugonga mwamba.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa Boko Haram na kuokoa raia 146 waliokuwa wametekwa nyara

    Sep 25, 2018 10:41

    Askari wa jeshi la Nigeria wamewaua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram katika operesheni inayolenga kutokomeza mabaki ya kundi hilo la kigaidi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz

    Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz

    Sep 25, 2018 04:44

    Kikundi kimoja cha watoto kimefanya matembezi ya amani katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, kumkumbuka na kumuenzi mtoto wa miaka minne aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigadi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran.

  • Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria

    Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria

    Sep 22, 2018 23:58

    Watu wasiopungua 97 wamefariki dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mripuko wa maradhi ya kipindupindu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.

  • Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Sep 21, 2018 23:41

    Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 20, 2018 22:53

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya

    IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya

    Sep 18, 2018 23:16

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, asilimia 80 ya wasichana wa Kinigeria wanaoingia Italia kupitia njia ya bahari wanatumiwa kama watumwa wa ngono.

  • Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Sep 18, 2018 02:43

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Sep 16, 2018 21:52

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS