-
Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia
Feb 28, 2025 02:41Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence) na ili kuwashinda wapinzani katika teknolojia hii, nchi yake inahitaji kusambaza umeme kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika na vya bei nafuu kama vile nishati ya nyuklia.
-
Iran kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki
Apr 09, 2024 02:20Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, nchi yake itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki utakaofanyika mwezi ujao wa Mei.
-
Mkurugenzi mkuu wa wakala wa IAEA kuitembelea Iran kesho
Mar 04, 2022 02:40Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) anatazamiwa kuitembelea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kesho Jumamosi kwa ziara rasmi ya kikazi.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; nishati ya nyuklia ni kwa ajili ya kuhudumia maendeleo ya kisayansi ya Iran
Feb 18, 2022 16:49Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa dunia ya leo inazidi kutegemea nishati ya nyuklia siku baada ya nyingine na kwamba Iran pia itahitajia pakubwa nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Eslami: Iran inataka kudhamini asilimia 50 ya umeme wa nchi kwa kutumia nishati ya nyukllia
Oct 04, 2021 04:13Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ametangaza kuwa: Iran inataka kudhamini asilimia 50 ya mahitaji ya umeme nchini kwa kustafidi na nishati ya atomiki.
-
Rouhani: Iran inaunda vituo 2 vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia
Jun 10, 2021 12:51Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeanza ujenzi wa vinu viwili vipya vya nishati ya nyuklia kwa ushirikiano na Russia.
-
Grossi: Haiwezakani kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa joto duniani bila ya nishati ya nyuklia
Feb 25, 2021 03:51Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesisitiza umuhimu wa nishati ya nyuklia katika uchumi na kutatua mgogoro wa nishati katika siku za usoni.
-
Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini
Nov 12, 2020 08:02Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna Austria amesema ripoti mpya iliyotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) inaonyesha kuwa taasisi hiyo ya kimataifa inaendelea kukagua na kufanyia uhakiki miradi ya nyuklia ya Iran bila vizingiti vyovyote.