-
FAO: Idadi ya nchi zinazohitajia misaada ya chakula duniani imeongezeka
Jul 06, 2019 08:18Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza katika ripoti yake kwamba, idadi ya nchi zinazohitajia misaada ya chakula duniani imeongezeka.
-
WFP: Mamilioni ya Wakongomani wanakabiliwa na uhaba wa chakula
Jul 03, 2019 07:29Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanahitajia msaada wa dharura wa chakula katika kipindi cha miezi sita ijayo.
-
Ripoti: Wakenya zaidi ya milioni 2 katika hatari ya kufa njaa
Jul 02, 2019 11:47Mamilioni ya Wakenya wapo katika hatari ya kukumbana na baa la njaa na mgogoro mkubwa wa chakula kuanzia mwezi huu wa Julai.
-
UN: 60% ya wananchi wa Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa
Jun 15, 2019 07:58Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema jumla ya watu milioni 7 sawa na asilimia 60 ya jamii nzima ya Sudan Kusini wanakabiliwa na baa la njaa.
-
Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini
Mar 24, 2019 15:37Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.
-
WMO: Joto linaongezeka duniani, maafa yanazidi
Feb 07, 2019 07:34Shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya Hewa duniani, WMO limesema ongezeko la viwango vya joto ni ishara ya wazi ya mabadiliko ya tabianchi ya muda mrefu, huku likisema miaka minne iliyopita viwango vilikuwa vya kipekee.
-
UN: Watu milioni 2 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula CAR
Nov 08, 2018 15:49Mpango wa Chakula Duniani WFP umesema watu milioni mbili wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura wa chakula huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UN: Machafuko ya Sudan Kusini yanazuia ugawaji wa misaada ya chakula
Oct 29, 2018 14:30Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, machafuko yanayoendelea nchini Sudan Kusini yanazuia operesheni za kugawa misaada ya chakula kwa watu wanaosumbuliwa na njaa kali katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
-
Ripoti: Njaa yawalazimisha Wayemen kula majani
Sep 16, 2018 15:00Inaarifiwa kuwa, wananchi wa Yemen wanalazimika kula majani ya miti kutokana na kusakamwa na baa la njaa sambamba na kukosa kitu cha kula, huku mgogoro wa kibinadamu katika nchi hiyo maskini ya Kiarabu ukiingia katika hatua ya kuogofya.
-
UN: Kiwango cha njaa duniani kimeongezeka kwa mwaka wa tatu mtawalia
Sep 12, 2018 07:52Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kiwango cha njaa duniani mwaka jana kiliongezeka kwa mwaka wa tatu mtawalia kutokana na mizozo ya kivita na mabadiliko ya tabia nchi.