-
FAO yatoa indhari kuhusu ongezeko la watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani
Mar 24, 2018 04:35Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limetangaza kuwa idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani iliongezeka kwa asilimia 15 katika mwaka uliopita wa 2017.
-
FAO yatahadharisha kuhusu kuzidi ukosefu wa usalama wa chakula Yemen
Mar 01, 2018 07:30Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kwamba, hali ya ukosefu wa usalama wa chakula inazidi kuwa mbaya huko nchini Yemen.
-
FAO: Zaidi ya watu milioni 220 wanakabiliwa na njaa barani Afrika
Feb 25, 2018 02:48Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, zaidi ya watu milioni 220 wanakabiliwa na baa la njaa barani Afrika.
-
Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua
Jan 20, 2018 04:39Rais Peter Mutharika wa Malawi amewataka viongozi wa serikali kuliongoza taifa hilo katika maombi maalumu ya kuomba mvua, katika hali ambayo nchi hiyo inakabiliwa na ukame na uhaba wa chakula.
-
FAO yataka uwekezaji zaidi katika kupambana na njaa na umasikini
Jan 05, 2018 03:51Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuweko uwekezaji zaidi katika uga wa kupambana na umasikini na njaa ulimwenguni.
-
Malawi yatangaza maafa katika wilaya 20 za nchi hiyo
Dec 18, 2017 14:29Malawi ambayo tayari inayosumbuliwa na mafuriko kutokana na mvua nyingi, imetangaza maafa katika wilaya 20 baada ya uharibifu mkubwa wa mazao ya kilimo uliosababishwa na hujuma ya wadudu wanaoharibu mazao na kutishia usalama wa chakula.
-
UN: Watu zaidi ya milioni 8.4 wa Yemen wapo katika ncha ya kufa njaa
Dec 12, 2017 08:10Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, watu milioni 8 na laki 4 wamebakisha 'hatua moja' watumbukie katika mgogoro mkubwa njaa.
-
FAO yataka kuweko juhudi za kupambana na tatizo la njaa ulimwenguni
Nov 30, 2017 03:44Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuungwa mkono na kusaidiwa wazalishaji wadogo ili kukabiliana na tatizo la njaa ulimwenguni.
-
UN: Watu milioni 1.2 wakabiliwa na baa la njaa Sudan Kusini
Nov 06, 2017 13:40Umoja wa Mataifa umesema watu milioni moja, laki mbili na elfu 50 wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa nchini Sudan Kusini.
-
The Gardian: UN inashirikiana na Myanmar kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Oct 17, 2017 15:12Gazeti la The Gardian linalochapishwa nchini Uingereza limefichua kuwa Umoja wa Mataifa unashirikiana na serikali ya Myanmar katika kuficha dhulma na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.