Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Iran na Oman zaanza maneva ya uokoaji katika lango la Hormuz

    Iran na Oman zaanza maneva ya uokoaji katika lango la Hormuz

    Apr 10, 2017 09:11

    Vikosi vya majini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman vimeanza maneva ya pamoja ya utafutaji na uokoaji katika maeneo ya mashariki ya Lango la Hormuz na katika maeneo ya kaskazini mwa Bahari ya Hindi.

  • Uhusiano wa Iran na Oman wazidi kuimarika, Rais Rouhani atembelea Muscat

    Uhusiano wa Iran na Oman wazidi kuimarika, Rais Rouhani atembelea Muscat

    Feb 15, 2017 12:29

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuna ulazima wa kuimarishwa ushirikiano wa pande zote baina ya nchi za eneo hili, kama ambavyo kuna wajibu pia wa kupewa kipaumbele suala la kusimamisha vita na kusaidiwa wananchi wa Yemen.

  • Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Feb 15, 2017 04:34

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi hii inataka kuboresha uhusiano katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi na kwamba lengo la mwisho la Tehran ni kuona amani na uthabiti zaidi inakuwepo katika eneo hili na nchi zote zinastawi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aikosoa Saudia kwa kushupalia vita

    Feb 15, 2017 00:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi ameikosoa Saudi Arabia kutokana na kushupalia utumiaji njia za kijeshi badala ya diplomasia kwa ajili ya kutatua migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati.

  • Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Nov 29, 2016 09:53

    Serikali ya Oman imetangaza upinzani wake dhidi ya pendekezo la Saudi Arabia la kuiweka Harakati ya Kiislamu na ya wananchi ya Answarullah nchini Yemen katika orodha ya pamoja ya wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kuhusiana na ugaidi.

  • Kuzidi kuimarika uhusiano wa Iran na Oman

    Kuzidi kuimarika uhusiano wa Iran na Oman

    Sep 30, 2016 14:31

    Baadhi ya picha za ziara ya ya ujumbe wa mahakama ya Oman ulipotembelea na kuonana na mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Tehran.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aonana na Rais Rouhani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman aonana na Rais Rouhani

    Feb 21, 2016 12:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, kuna wajibu wa kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara wa Iran na Oman na kuufikisha kwenye daraja ya uhusiano wa kisiasa wa pande hizo mbili.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS