Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Yemen yazitahadharisha nchi za Kiarabu zinazouhami utawala wa Kizayuni

    Yemen yazitahadharisha nchi za Kiarabu zinazouhami utawala wa Kizayuni

    Jul 30, 2025 09:07

    Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameyatahadharisha makampuni ya meli kuhusu kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UNRWA: Watu wa Gaza wanazirai mitaani kwa sababu ya njaa

    UNRWA: Watu wa Gaza wanazirai mitaani kwa sababu ya njaa

    Jul 04, 2025 11:53

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza leo Ijumaa kwamba Ukanda wa Gaza unasumbuliwa na hali mbaya na kwamba njaa imekithiri katika eneo hilo, na watu wanazimia barabarani kutokana na njaa kali.

  • Papa Leo aikemea Israel kwa kutumia njaa kama wenzo wa vita

    Papa Leo aikemea Israel kwa kutumia njaa kama wenzo wa vita

    Jul 01, 2025 09:01

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kwa mara kadhaa sasa tangu achaguliwe kuongoza kanisa Katoliki ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kutumia njaa kama wenzo wa kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 26, 2025 22:56

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Indhari ya WHO kuhusu kushtadi migogoro ya kibinadamu kufuatia kusimamishwa misaada ya Marekani

    Apr 21, 2025 23:03

    Afisa mmoja wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Jumapili Aprili 20 alitahadharisha kuwa kupungua misaada ya nje ya Marekani kunaweza kuzidisha ugumu na kutatiza pakubwa migogoro ya kibinadamu kote ulimwenguni.

  • Onyo la Marekani kuhusu kurejea nyuma katika mazungumzo ya vita vya Ukraine

    Onyo la Marekani kuhusu kurejea nyuma katika mazungumzo ya vita vya Ukraine

    Apr 20, 2025 22:54

    Marco Rubio Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametangaza kuwa, Rais Donald Trump atajiondoa katika juhudi za kupatanisha makubaliano ya amani kati ya Russia na Ukraine ndani ya siku chache zijazo isipokuwa kama kutakuwa na dalili za wazi kwamba makubaliano yanaweza kufikiwa.

  • Russia nayo yaionya Washington kuhusu shambulio lolote dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran

    Russia nayo yaionya Washington kuhusu shambulio lolote dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran

    Apr 01, 2025 23:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya nyuklia ya Iran linaweza kuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Mashariki ya Kati.

  • Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wa aina yoyote

    Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu matokeo mabaya ya uchokozi wa aina yoyote

    Mar 19, 2025 23:04

    Amir Saeed Irvani, Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa alitahadharisha katika barua yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatatu kwamba, hatua zozote za kichokozi zitakazofanywa na Marekani zitakuwa na matokeo mabaya na hatari mno.

  • Magereza ya Uingereza; uwanja wa kujifaragua magenge ya uhalifu

    Magereza ya Uingereza; uwanja wa kujifaragua magenge ya uhalifu

    Jan 15, 2025 04:08

    Mkaguzi Mkuu wa Magereza nchini Uingereza ametahadharisha kuwa matumizi ya ndege zisizo na rubani (droni) kuingiza silaha na mihadarati katika magereza ya nchi hiyo ni tishio kwa usalama wa taifa licha ya ulinzi mkali uliopo.

  • Onyo kuhusu athari za kiusalama za mpasuko wa anga ya kisiasa ya Marekani

    Onyo kuhusu athari za kiusalama za mpasuko wa anga ya kisiasa ya Marekani

    Jan 06, 2025 23:10

    Tovuti ya mtandao wa televisheni ya Marekani NBC imeandika katika ripoti yake kuhusu suala la kushamiri itikadi kali katika anga ya mtandaoni, ikionya kuhusu madhara ya usalama ya mpasuko wa nga ya kisiasa ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS