Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Dec 20, 2021 05:42

    Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Dec 18, 2021 04:11

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.

  • Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Oct 27, 2021 22:45

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan na irejeshe mali hizo zinazoshikiliwa na mabenki ya Marekani.

  • Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Oct 24, 2021 23:01

    Serikali ya Pakistan imekanusha ripoti za vyombo vya habari zinazoeleza kufikiwa makubaliano kati yake na Marekani kwa ajili ya kufanya operesheni za kijeshi na kijasusi nchini Afghanistan.

  • Baba na mhandisi wa kombora la nyuklia la Pakistan afariki dunia

    Baba na mhandisi wa kombora la nyuklia la Pakistan afariki dunia

    Oct 10, 2021 09:35

    Baba na mhandisi wa silaha za nyuklia wa Pakistan, Abdul Qadeer Khan ameaga dunia mapema leo Jumapili akiwa na umri wa miaka 85.

  • Mtetemeko wa ardhi waua makumi ya watu nchini Pakistan

    Mtetemeko wa ardhi waua makumi ya watu nchini Pakistan

    Oct 07, 2021 21:24

    Mtetemeko wa ardhi uliokuwa na ukubwa wa 5.9 kwa kipimo cha Rishta ulitokea mapema jana katika mkoa wa Baluchistan, kusini magharibi mwa Pakistan na kuua watu wasiopungua 23.

  • Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Oct 07, 2021 01:05

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani

  • Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan

    Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan

    Sep 27, 2021 01:02

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameelezea wasiwasi wake kutokana na kuweko magenge ya kigaidi katika nchi jirani ya Afghanistan kama vile Daesh (ISIS) na Tehrik-i-Taliban.

  • Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan

    Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan

    Aug 27, 2021 08:50

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Rais Ibrahim Raeisi na kujadili pamoja na kubadilishana mawazo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili huku matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan yakitawala katika mazungumzo yao.

  • Rais Raisi: Uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiimani na wa baina ya watu

    Rais Raisi: Uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiimani na wa baina ya watu

    Aug 26, 2021 22:07

    Rais Ebrahim Raisi amesema, uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiitikadi na unaotokana na mtazamo wa watu wenyewe wa mataifa hayo mawili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS