-
Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu
Dec 20, 2021 05:42Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019
Dec 18, 2021 04:11Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.
-
Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan
Oct 27, 2021 22:45Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan na irejeshe mali hizo zinazoshikiliwa na mabenki ya Marekani.
-
Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan
Oct 24, 2021 23:01Serikali ya Pakistan imekanusha ripoti za vyombo vya habari zinazoeleza kufikiwa makubaliano kati yake na Marekani kwa ajili ya kufanya operesheni za kijeshi na kijasusi nchini Afghanistan.
-
Baba na mhandisi wa kombora la nyuklia la Pakistan afariki dunia
Oct 10, 2021 09:35Baba na mhandisi wa silaha za nyuklia wa Pakistan, Abdul Qadeer Khan ameaga dunia mapema leo Jumapili akiwa na umri wa miaka 85.
-
Mtetemeko wa ardhi waua makumi ya watu nchini Pakistan
Oct 07, 2021 21:24Mtetemeko wa ardhi uliokuwa na ukubwa wa 5.9 kwa kipimo cha Rishta ulitokea mapema jana katika mkoa wa Baluchistan, kusini magharibi mwa Pakistan na kuua watu wasiopungua 23.
-
Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan
Oct 07, 2021 01:05Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani
-
Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan
Sep 27, 2021 01:02Waziri Mkuu wa Pakistan ameelezea wasiwasi wake kutokana na kuweko magenge ya kigaidi katika nchi jirani ya Afghanistan kama vile Daesh (ISIS) na Tehrik-i-Taliban.
-
Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan
Aug 27, 2021 08:50Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Rais Ibrahim Raeisi na kujadili pamoja na kubadilishana mawazo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili huku matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan yakitawala katika mazungumzo yao.
-
Rais Raisi: Uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiimani na wa baina ya watu
Aug 26, 2021 22:07Rais Ebrahim Raisi amesema, uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiitikadi na unaotokana na mtazamo wa watu wenyewe wa mataifa hayo mawili.