-
Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir
Aug 05, 2021 21:51Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha na kuibebesha dhima New Delhi, kwa kukanyaga haki za binadamu katika eneo linalodhibitiwa na India huko Jammu na Kashmir.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan azungumza kwa simu na Rais mteule wa Iran
Jul 05, 2021 02:36Waziri Mkuu wa Pakistan, amefanya mazungumzo ya simu na Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Pendekezo la Waziri Mkuu wa Pakistan la kumalizwa mgogoro wa miaka mingi wa Afghanistan
Jun 23, 2021 07:32Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ametoa pendekezo la kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa miaka mingi wa nchi hiyo.
-
Ajali ya treni yasababisha vifo vya makumi ya watu nchini Pakistan
Jun 07, 2021 07:06Takriban watu 40 wameaga dunia na zaidi ya 120 wamejeruhiwa baada ya kugongana kwa treni mbili karibu na mji wa kusini mwa Pakistani wa Daharki.
-
Mapatano ya India na Pakistan juu ya kusitisha vita katika eneo la Kashmir
Feb 27, 2021 23:48Kwa mara ya kwanza kabisa baada ya miongo miwili, India na Pakistan zimeafikiana kusitisha vita katika eneo linalogombaniwa la Kashmir.
-
Wapakistani waandamana kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel
Jan 23, 2021 09:01Makumi ya maelfu ya wananchi wa Pakistan wamefanya maandamano ya kupinga uwezekano wowote wa kuanzishwa uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Maulamaa wa Pakistan wakosoa filamu tata ya "Mwanamke wa Peponi"
Jan 16, 2021 00:47Wanazuoni wa Kishia na maulamaa wengine wa Kiislamu nchini Pakistan wamelaani na kukosoa vikali filamu tata ya "Mwanamke wa Peponi" na kuitaja kuwa njama za maadui wa Uislamu wenye nia ya kupanda mbegu za chuki baina ya Waislamu.
-
Kutangaza msimamo wa wazi Pakistan wa kupinga kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni
Dec 23, 2020 09:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amepinga aina yoyote ya mashinikizo ya nje dhidi ya nchi hiyo kwa ajili ya kujiunga na safau ya nchi zinazoanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni na kueleza kuwa: Islamabad katu haitaitambua rasmi Israel.
-
Pakistan yaiambia UAE: Katu hatutaitambua Israel
Dec 22, 2020 03:53Kwa mara nyingine tena, serikali ya Pakistan imesisitiza kuwa, kamwe haitoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya mashinikizo ya nchi ajinabi.
-
Imran Khan asisitiza tena: Pakistan haitaitambua Israel wala kuanzisha uhusiano nayo
Dec 19, 2020 04:00Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.