-
Mtetemeko wa ardhi waua makumi ya watu nchini Pakistan
Oct 07, 2021 21:24Mtetemeko wa ardhi uliokuwa na ukubwa wa 5.9 kwa kipimo cha Rishta ulitokea mapema jana katika mkoa wa Baluchistan, kusini magharibi mwa Pakistan na kuua watu wasiopungua 23.
-
Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan
Oct 07, 2021 01:05Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani
-
Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan
Sep 27, 2021 01:02Waziri Mkuu wa Pakistan ameelezea wasiwasi wake kutokana na kuweko magenge ya kigaidi katika nchi jirani ya Afghanistan kama vile Daesh (ISIS) na Tehrik-i-Taliban.
-
Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan
Aug 27, 2021 08:50Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Rais Ibrahim Raeisi na kujadili pamoja na kubadilishana mawazo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili huku matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan yakitawala katika mazungumzo yao.
-
Rais Raisi: Uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiimani na wa baina ya watu
Aug 26, 2021 22:07Rais Ebrahim Raisi amesema, uhusiano wa Iran na Pakistan ni wa tangu na tangu, wa kiitikadi na unaotokana na mtazamo wa watu wenyewe wa mataifa hayo mawili.
-
Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir
Aug 05, 2021 21:51Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha na kuibebesha dhima New Delhi, kwa kukanyaga haki za binadamu katika eneo linalodhibitiwa na India huko Jammu na Kashmir.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan azungumza kwa simu na Rais mteule wa Iran
Jul 05, 2021 02:36Waziri Mkuu wa Pakistan, amefanya mazungumzo ya simu na Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Pendekezo la Waziri Mkuu wa Pakistan la kumalizwa mgogoro wa miaka mingi wa Afghanistan
Jun 23, 2021 07:32Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ametoa pendekezo la kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa miaka mingi wa nchi hiyo.
-
Ajali ya treni yasababisha vifo vya makumi ya watu nchini Pakistan
Jun 07, 2021 07:06Takriban watu 40 wameaga dunia na zaidi ya 120 wamejeruhiwa baada ya kugongana kwa treni mbili karibu na mji wa kusini mwa Pakistani wa Daharki.
-
Mapatano ya India na Pakistan juu ya kusitisha vita katika eneo la Kashmir
Feb 27, 2021 23:48Kwa mara ya kwanza kabisa baada ya miongo miwili, India na Pakistan zimeafikiana kusitisha vita katika eneo linalogombaniwa la Kashmir.