Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa

    Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa

    Dec 08, 2020 23:07

    Vyombo vya habari vya Pakistan vimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Imran Khan ametoa pendekezo la kuvunjwa uhusiano wa nchi za Kiislamu na Ufaransa.

  • Pakistan: Kamwe hatukubali kushinikizwa kuitambua rasmi Israel

    Pakistan: Kamwe hatukubali kushinikizwa kuitambua rasmi Israel

    Nov 17, 2020 22:53

    Kwa mara nyingine tena, Pakistan imesisitiza kuwa katu haitatumbukia katika mashinikizo ya kufuata mkumbo wa kuitambua rasmi Israel maadamu utawala huo haramu bado unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Tuhuma za kutumika ardhi ya Afghanistan katika kushambuliwa nchi nyingine zakanushwa

    Tuhuma za kutumika ardhi ya Afghanistan katika kushambuliwa nchi nyingine zakanushwa

    Nov 17, 2020 00:22

    Serikali ya Afghanistan imekanusha tuhuma za kutumika ardhi ya nchi hiyo kufanya mashambulizi dhidi ya nchi nyingine.

  • Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe

    Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe

    Nov 16, 2020 03:41

    Maelfu ya waandamanaji nchini Pakistan waliofanya mgomo wa kuketi wametangaza kuwa wataendeleza mgomo wao huo mpaka balozi wa Ufaransa nchini humo atimuliwe.

  • Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu

    Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu

    Oct 13, 2020 22:54

    Mshukiwa wa pili amewekwa kizuizini nchini Pakistan baada ya kukamatwa na polisi kufuatia ubakaji wa genge la watu dhidi ya mwanamke mmoja ambao umeibua maandamano kote nchini humo.

  • Wanajeshi wa India na Pakistan wafyatuliana tena risasi kwenye mpaka wa eneo la Kashmir

    Wanajeshi wa India na Pakistan wafyatuliana tena risasi kwenye mpaka wa eneo la Kashmir

    Sep 27, 2020 10:28

    Askari mmoja wa Pakistan ameuawa katika mapigano mapya ya mpakani yaliyozuka katika eneo la Kashmir kati ya wanajeshi wa nchi hiyo na India.

  • Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 26, 2020 09:06

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema serikali ya Kihindu ya India inaunga mkono na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Maandamano ya kulaani kudhalilishwa Mtume Mtukufu (saw) yafanyika Kashmir

    Maandamano ya kulaani kudhalilishwa Mtume Mtukufu (saw) yafanyika Kashmir

    Sep 03, 2020 22:17

    Makumi ya wakazi wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan wamefanya maandamano ya kulaani kitendo cha jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW

    Sep 02, 2020 03:27

    Pakistan imelaani vikali uamuzi wa jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).

  • Imran Khan: Pakistan kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    Imran Khan: Pakistan kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    Aug 19, 2020 05:26

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa nchi yake kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS