-
Waziri Mkuu wa Pakistan apendekeza Ulimwengu wa Kiislamu uvunje uhusiano na Ufaransa
Dec 08, 2020 23:07Vyombo vya habari vya Pakistan vimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Imran Khan ametoa pendekezo la kuvunjwa uhusiano wa nchi za Kiislamu na Ufaransa.
-
Pakistan: Kamwe hatukubali kushinikizwa kuitambua rasmi Israel
Nov 17, 2020 22:53Kwa mara nyingine tena, Pakistan imesisitiza kuwa katu haitatumbukia katika mashinikizo ya kufuata mkumbo wa kuitambua rasmi Israel maadamu utawala huo haramu bado unazikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Tuhuma za kutumika ardhi ya Afghanistan katika kushambuliwa nchi nyingine zakanushwa
Nov 17, 2020 00:22Serikali ya Afghanistan imekanusha tuhuma za kutumika ardhi ya nchi hiyo kufanya mashambulizi dhidi ya nchi nyingine.
-
Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe
Nov 16, 2020 03:41Maelfu ya waandamanaji nchini Pakistan waliofanya mgomo wa kuketi wametangaza kuwa wataendeleza mgomo wao huo mpaka balozi wa Ufaransa nchini humo atimuliwe.
-
Pakistan yamkamata mtuhumiwa wa pili baada ya mwanamke kubakwa na genge la watu
Oct 13, 2020 22:54Mshukiwa wa pili amewekwa kizuizini nchini Pakistan baada ya kukamatwa na polisi kufuatia ubakaji wa genge la watu dhidi ya mwanamke mmoja ambao umeibua maandamano kote nchini humo.
-
Wanajeshi wa India na Pakistan wafyatuliana tena risasi kwenye mpaka wa eneo la Kashmir
Sep 27, 2020 10:28Askari mmoja wa Pakistan ameuawa katika mapigano mapya ya mpakani yaliyozuka katika eneo la Kashmir kati ya wanajeshi wa nchi hiyo na India.
-
Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu
Sep 26, 2020 09:06Waziri Mkuu wa Pakistan amesema serikali ya Kihindu ya India inaunga mkono na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.
-
Maandamano ya kulaani kudhalilishwa Mtume Mtukufu (saw) yafanyika Kashmir
Sep 03, 2020 22:17Makumi ya wakazi wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na Pakistan wamefanya maandamano ya kulaani kitendo cha jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).
-
Pakistan yasikitishwa na Charlie Hebdo kumvunjia tena heshima Mtume SAW
Sep 02, 2020 03:27Pakistan imelaani vikali uamuzi wa jarida linalochapishwa nchini Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha tena vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW).
-
Imran Khan: Pakistan kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel
Aug 19, 2020 05:26Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa nchi yake kamwe haitautambua rasmi utawala haramu wa Israel.